Gharama za kujifungua kwa operation

B'REAL

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
4,443
Reaction score
3,002
Wakuu habari za saa hizi,

Nahitaji msaada,

Kujua gharama za kujifungua kwa operation katika hospitali za private? Nina mwezangu ambae ni mjamzito sasa nataka kujianda kwa chochote endapo ikitokea akajifungua kwa kisu inatakiwa niwe na kama kiasi gani cha fedha?
 
Unatafuta gharama zann wakat ile kad ndo usalama wako au ww unapesa sana? Gharama ni lak nne hadi lak tano
 
Unatafuta gharama zann wakat ile kad ndo usalama wako au ww unapesa sana? Gharama ni lak nne hadi lak tano
happy sio kwamba napesa sana, kadi sina niliacha kazi nikarudisha now ni mjasiria mali tu.
 
Nasikia huwa ina-range kwenye laki tano.
 
oooh kadi ya clinic ipo....kwahiyo hiyo inasaidia nini,tafadhali usinishangae kwa maswali yangu....maana ndo uzao wa kwanza.
Iyo kad unaenda nayo Hospital ya serikali ni bure ila docta ndoanafanya anachotaka huwez muamrisha akufanyie opareshen kama utataka kwa hiar labda mnakaa mezan
 
Samahani chief naomba nikuulize nje ya swali lako, kwanini mnajiandaa kwa operation?
 
Samahani chief naomba nikuulize nje ya swali lako, kwanini mnajiandaa kwa operation?
mkuu unajua kama unavyo jua chochote kinaweza kutokea, na mimi binafsi ni mchacharikaji tu mjini nataka nijitaidi niwe na kiakiba flani hata ikitokea niweze kumudu,ila namuomba mungu ajifungue kwa njia ya kawaida
 
mkuu unajua kama unavyo jua chochote kinaweza kutokea, na mimi binafsi ni mchacharikaji tu mjini nataka nijitaidi niwe na kiakiba flani hata ikitokea niweze kumudu,ila namuomba mungu ajifungue kwa njia ya kawaida
Sawa nimekuelewa, Mungu atasikia maombi yako....best of luck
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…