Gharama za kukodisha gari la Harusi

TajiriMutoto

Member
Joined
Jun 20, 2012
Posts
86
Reaction score
38
WanaJF naomba kujulishwa gharama za kukodisha gari kwa ajili ya maharusi kwa siku moja ni shilingi ngapi kwa Dar? Aina ya gari Mercedes benz E Class, kwa wenye ufahamu juu ya hili naomba nifahamishwe bei zinaendaje, Asante.
 
Upo mji gani?Sasa unazungumza bila kutaja location utasaidiwaje?
 
WanaJF naomba kujulishwa gharama za kukodisha gari kwa ajili ya maharusi kwa siku moja ni shilingi ngapi kwa Dar? Aina ya gari Mercedes benz E Class, kwa wenye ufahamu juu ya hili naomba nifahamishwe bei zinaendaje, Asante.



Gari zinakodishwa maalumu kwa sherehe za harusi, kitchen party, send off au hata mtoko wowote ule wasiliana na Prisca kwa namba zifuatazo.....
022 -
2293256 au 0655 550005.Toa taarifa wiki moja kabla ya siku unayohitaji gari.


Source: TUNAKODISHA MAGARI KWA SHUGHULI MBALIMBALI... | Majoy Blog
 
Ukiwapata uje utupe gharama zao,aina za magari na ubora wake...asante
 
Mcheck Dotnata pia huwa yupo safi na ilikua ukiweka order ya msosi kwake then mkoko unapata Free!!! Yupo pale Riverside kama unatokea ubungo unaingia kushoto. Ana bei maridhawa... Nilimtumia 2009 so kwa sasa sijui kama bado ipo hivyo au kaboresha au keshaharibu. +255715888859
 
Unge post kwenye forum ya matangazo, trust me hili dili watu wangekuchangamkia, infact ungepata hata pachage nzima yaani hata magari ya flower girls, matarumbeta, chakula, nguo, coaster la wavamizi.... You mention it!! Kwa hapa Dar, niliona magari ya kukodi baada ya kituo cha mafuta cha Oilcom maeneo ya Victoria.
 
All the best kwa rafiki muoaji......nafikiri umeshasaidika hapo juu!
 
Dah!Ngoja nifunge bakuli langu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…