kankara bambara
Member
- Jun 28, 2013
- 22
- 1
​Nimeagiza gari aina ya PASSO ya mwaka 2004 kwa gharama ya $2170.
Je, nitalipa shipping line na port charges kiasi gani?
C&F agent anataka tsh 200000/= kulitoa
Naomba wazoefu mnijibu.
Je, nitalipa shipping line na port charges kiasi gani?
C&F agent anataka tsh 200000/= kulitoa
Naomba wazoefu mnijibu.