G Gates Member Joined Jan 18, 2011 Posts 48 Reaction score 4 Apr 26, 2015 #1 Habari, Tafadhali, kwa anayejua gharama za ku'publish' kitabu chenye page 500 tafadhali naomba anijuze! Mungu awabariki sana. NB: Ni kitabu cha somo la Hisabati kwa shule za primary.
Habari, Tafadhali, kwa anayejua gharama za ku'publish' kitabu chenye page 500 tafadhali naomba anijuze! Mungu awabariki sana. NB: Ni kitabu cha somo la Hisabati kwa shule za primary.