Gharama za kutangaziwa biashara hapa

Gharama za kutangaziwa biashara hapa

GAGL

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2010
Posts
392
Reaction score
400
Napenda kufahamu gharama nitakazolipia ikiwa nitataka tangazo la biashara yangu lionekane hapa. Pia naomba kwa yeyote anayefahamu gharama za ku-launch website anifahamishe tafadhali. Nawasilisha.
 
hiyo habari yako nitangazo tosha je kwani kuna mtu amekwambia ulipie?

kuhusu ku launch website gharama zinatofautiana ni pm kama uko serious na website utengenezewe kila kitu
 
hiyo habari yako nitangazo tosha je kwani kuna mtu amekwambia ulipie?

kuhusu ku launch website gharama zinatofautiana ni pm kama uko serious na website utengenezewe kila kitu

Mkuu Money Stunna, sio kuweka post ya tangazo, nataka kuweka bango lionekane kama yanavyoonekana hayo ya tigo na voda hapo.

Kuhusu gharama za website, nashindwa kuelewa niku-pm nini tena wakati shida yangu nimeshaisema hapa, napendekeza uni-pm tu huo msaada unaotaka kunipa, au utaratibu ni mpaka nikupm mimi ndo unaweza kunijibu?
 
Back
Top Bottom