N njechelle Member Joined Jul 21, 2015 Posts 20 Reaction score 3 Aug 20, 2015 #1 Habari wana JF Naomba anaejua gharama za kutoa container la 20ft hapo Bongo anipe process yote pamoja na charge zingine km zipo. Container ni la nguo za mitumba.
Habari wana JF Naomba anaejua gharama za kutoa container la 20ft hapo Bongo anipe process yote pamoja na charge zingine km zipo. Container ni la nguo za mitumba.
Fall Army Worm JF-Expert Member Joined Jan 8, 2015 Posts 19,355 Reaction score 14,408 Aug 20, 2015 #2 Ngoja waje wanaojua ili wengi tujifunze.
N njechelle Member Joined Jul 21, 2015 Posts 20 Reaction score 3 Aug 20, 2015 Thread starter #3 Nawasubiri kwa hamu
M Mtoto Tajiri JF-Expert Member Joined Sep 29, 2014 Posts 300 Reaction score 173 Aug 21, 2015 #4 Wana JF siku hizi wameamia kwenye Siasa mada kama hv ni ngumu sana kupata wachangiaji!