BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Bro ukifanikiwa utuambie hako ka baby walker kamekugharimu kiasi ganiHabari wakuu,
Kuna kibaby walker niliagiza, sasa kimefika. Nimeongea na kampuni ya clearing wamenipa hizi gharama ukiachana na kodi ya TRA ambayo naweza kuona kwenye system ya TRA, ningependa kujua uzoefu wenu kama zipo sawa mana nadhani mnajua hapa mjini ujanja ujanja mwingi. Gharama hizo ni; Shipping lines 150,000 Wharfage 115,000 Port charges 250,000 Plate number 50,000 na Agency fee ni 300,000
Naombeni uzoefu wenu wakuu
Passo, ist, swift, vitz, terrois kid, cami.Kibaby walker ndio Gari ya Aina Gani?
Asante Mkuu, huku Mikoani hizi lugha hatujazoea KidogoPasso, ist, swift, vitz, terrois kid, cami.
Kwa ufupi ni Gar ndogo ambazo speed ikifika 140 kanaanza kutetemeka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu bei hazijakaa sawa hasa kwenye upande wa plate number na agency fee. Bei ya plate number ni tsh. 30,000 na agency fee bei ya soko ya ku-clear saloon car ni tsh 200,000 mpaka tsh. 250,000.Habari wakuu,
Kuna kibaby walker niliagiza, sasa kimefika. Nimeongea na kampuni ya clearing wamenipa hizi gharama ukiachana na kodi ya TRA ambayo naweza kuona kwenye system ya TRA, ningependa kujua uzoefu wenu kama zipo sawa mana nadhani mnajua hapa mjini ujanja ujanja mwingi. Gharama hizo ni; Shipping lines 150,000 Wharfage 115,000 Port charges 250,000 Plate number 50,000 na Agency fee ni 300,000
Naombeni uzoefu wenu wakuu
Registration fee ni kwa ajili ya kupata kadi ya gari tu, plate number inanunuliwa kwenye makampuni ya sign industries kama Kiboko, Masasi n.k.Kumbe plate namba nayo unalipia mimi nikajua ndio ile regstration fee oliyopo katika kodi ya TRA ukiview kwenye Calculator
Sent using Jamii Forums mobile app
FursaMkuu bei hazijakaa sawa hasa kwenye upande wa plate number na agency fee. Bei ya plate number ni tsh. 30,000 na agency fee bei ya soko ya ku-clear saloon car ni tsh 200,000 mpaka tsh. 250,000.
Karibu katika kampuni yetu, agency fee tutakutoza tsh. 200,000 tu, tunafanya kazi kwa uaminifu, ufanisi na kwa haraka.
Tunapatikana kwa anuani ifuatayo;
S.A Link Traders Ltd (Clearing & Forwarding Company)
2nd Floor-Elite City building (Opposite Harbor View),
Samora Avenue/Morogoro Road,
Dar es Salaam- Tanzania.
Email: info@salink.co.tz
Mob: +255718 866 651 ( Call or Whatsapp )
Website: www.salink.co.tz
Facebook page: S.A LINK Traders LTD
Ministrant wa zamani umebalidi avatar yako haaaaaKibaby walker ndio Gari ya Aina Gani?
Hahahaha Nimeamua Kuweka Picha Yangu HalisiMinistrant wa zamani umebalidi avatar yako haaaaa
mndamba kutoka Ifakara
Hongeraa mkuu, uamuzi sahihi japo yataka moyo sana jf kuweka hivyoHahahaha Nimeamua Kuweka Picha Yangu Halisi
Ahahahahaha unamuogopa sioHaaaaa mshana Jr yule nusu MTU
Mi siwezi kumuiga
mndamba kutoka Ifakara
Haaaaa story zake daah zinanifanyaga nimwone kubwa LA maduiAhahahahaha unamuogopa sio