Chesis iko chini mno, barabara za bongo kule Kidongochekunda kazi kweli kupita, la sivyo mwisho wa safari body imeng'oka, la sivyo chakua barabara za kupita, lakini shida ya usafiri haichagui njia.
Hiyo itakukuta kama umeagizia gari ambayo ni unique yani Bandari/TRA hawana identical wala similar item ili kuestimate kodi. Unakuta m2 anakokotoa kodi kwa kutumia CIF ambayo iko chini sana wakati wale jamaa wana similar/Identical item ambayo wanaweza kuestimate kodi ambayo ni fair kwako kama ulizidisha CIF price na kwao kama ulipunguza sana CIF price.
Angalia attachment hii, ni excel worksheet jinsi TRA wanavyokokotoa kodi. Kwa magari yote, ya zaidi ya miaka kumi na chini ya miaka kumi.
Pia sio kweli kwamba gari yenye umri zaidi ya miaka kumi gharama ni kubwa zaidi, matter of fact ni ndogo. Mfumo wa sasa ulioanza mwaka jana Sept ni tofauti za zamani.
Mfumo umepandisha gharama juuu.
usiogope mkuu hiyo ni 1000 cc sema ni turbo
Nadhani unapotosha ukweli.tatizo ni kwamba hiyo $1800 haitapigiwa hesabu kama dola 1800 wana viwango vyao kulingana na gari na gari, inawezashuka lakini sio
chini ya 8m ndugu yangu,labda kama uliagiza gari mwaka juzi ndio bei zake hizo
Msaada Jaman
Nataka kuingiza hii kitu Toyota Prado landcluser 1992 CC2400
CIF yake ni $7400
Hivi pale bandarini niandae kama ngapi?
kweli wewe naona tatizo lako nikupitwa na wakati, yaani unaongelea mambo0ya ten years back? Hata mwanangu hajazaliwa badoNadhani unapotosha ukweli.
Kama CIF ni 1800, watakuchaji not more than 5m shs.
CIF yangu ilikuwa 3000, mwaka 2003 na mpaka inafika mlangoni nilitumia 4,800,000.
15 million ni kubwa mno, na hawa maagent huwa wanaangalia mtu mwenyewe yupo vipi.
Mwaka wa gari. Nayaja haya mambo vizuri.kweli wewe naona tatizo lako nikupitwa na wakati, yaani unaongelea mambo0ya ten years back? Hata mwanangu hajazaliwa bado
na sasa yupo std 4! Mie nilijua umeagiza mwaka huu maana hata mwaka jana0ni tofauti0 na mwaka huu
na bado 1 july mabadiliko mengine yanaendelea, mpotoshaji ni wewe lol!