Gharama za kuunganishiwa umeme ukiwa mita 30-120 toka nguzo ilipo ni kiasi gani?

Gharama za kuunganishiwa umeme ukiwa mita 30-120 toka nguzo ilipo ni kiasi gani?

Gharama za kujiunga umeme ukiwa mia 30-120 toka nguzo ilipo ni kiasi gani?
Gharama halisi za kuunganishiwa umeme zilizoidhinishwa na mdhibiti (EWURA): Mijini ni

Gharama za kuunganisha umeme mjini ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia moja (single phase) kutoka kwenye miundombinu ya umeme ni shilingi 320,960/=

Mteja wa njia moja (single phase) ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 515,618/=

Mteja wa njia moja (single phase) ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 696,670/=

Gharama za kuunganisha umeme ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia tatu (three phase) kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 912,014/=,

Mteja wa njia tatu (three phase) ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,249,385/=,

umbali wa njia tatu (three phase) ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,639,156/=

Ni gharama za sasa izo

Na kwa
Gharama ya kuunganisha umeme vijijini kwa wateja wa njia moja ni shilingi 27,000/= kama ilivyoelekezwa na EWURA. ( Gharama zote zimejumuisha Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT))

Na kwa wateja wa njia tatu ( three phase ) vijijini ni karibia kuwa sawa na mijini tu.

Ni iko ivo Mkuu
 
Gharama halisi za kuunganishiwa umeme zilizoidhinishwa na mdhibiti (EWURA): Mijini ni

Gharama za kuunganisha umeme mjini ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia moja (single phase) kutoka kwenye miundombinu ya umeme ni shilingi 320,960/=

Mteja wa njia moja (single phase) ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 515,618/=

Mteja wa njia moja (single phase) ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 696,670/=

Gharama za kuunganisha umeme ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia tatu (three phase) kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 912,014/=,

Mteja wa njia tatu (three phase) ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,249,385/=,

umbali wa njia tatu (three phase) ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,639,156/=

Ni gharama za sasa izo

Na kwa
Gharama ya kuunganisha umeme vijijini kwa wateja wa njia moja ni shilingi 27,000/= kama ilivyoelekezwa na EWURA. ( Gharama zote zimejumuisha Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT))

Na kwa wateja wa njia tatu ( three phase ) vijijini ni karibia kuwa sawa na mijini tu.

Ni iko ivo Mkuu
Uko sawa kote Mkuu ila hapo kwa Vijijini Three phase kama yuko ndani ya 30 Meter kutoka miundo mbinu ilipo ni 139,000 TSH.

NB; Gharama hiyo ni endapo kuna Mradi wa REA tu na si vinginevyo ila kwa ushauri zaidi unaombwa kutembelea ofisi zilizopo karibu nawe za TANESCO maana wahusika wa TANESCO ndiye watakupa gharama halisi mala tu baada ya kukupimia.asante
 
Gharama halisi za kuunganishiwa umeme zilizoidhinishwa na mdhibiti (EWURA): Mijini ni

Gharama za kuunganisha umeme mjini ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia moja (single phase) kutoka kwenye miundombinu ya umeme ni shilingi 320,960/=

Mteja wa njia moja (single phase) ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 515,618/=

Mteja wa njia moja (single phase) ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 696,670/=

Gharama za kuunganisha umeme ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia tatu (three phase) kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 912,014/=,

Mteja wa njia tatu (three phase) ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,249,385/=,

umbali wa njia tatu (three phase) ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,639,156/=

Ni gharama za sasa izo

Na kwa
Gharama ya kuunganisha umeme vijijini kwa wateja wa njia moja ni shilingi 27,000/= kama ilivyoelekezwa na EWURA. ( Gharama zote zimejumuisha Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT))

Na kwa wateja wa njia tatu ( three phase ) vijijini ni karibia kuwa sawa na mijini tu.

Ni iko ivo Mkuu
Unaposema single phase unamaanisha nini?? Tafadhari tufafanulie
 
320 tu , wadau watafix mambo chonga nao vizuri hata ukiwa umbali zaidi ya hapo
 
Unaposema single phase unamaanisha nini?? Tafadhari tufafanulie
Single = 1

single phase = Fesi moja.

Kibongobongo ni ule umeme wa kawaida wa matumizi ya nyumbani ambao utaona nyaya mbili zimeelekezwa toka ulipochukulia umeme mpaka kwenye mita yako...
 
Unaposema single phase unamaanisha nini?? Tafadhari tufafanulie
Ni zile nyaya 2 za Umeme wa kawaida majumbani. Elewa hivyo.
Ukiona nuaya 4 za umeme ni 3 phase hizi hutumika kwa mahitaji makubwa kama mashine ya matofari, kusagishia n.k.
 
Back
Top Bottom