Kwa sheria ya tanesco,ili kuweka mita zaid ya moja ktk nyumba inakubidi uhakikishe iyo mita iliyopo haina deni na kama ina deni lisizidi laki,then itakubidi ufanye upya wiring iyo sehemu unayotaka kuweka mita mpya,then utachukua kadi na prosesi zingine kufuata,na gharama yake ni sh 320960 /=.kwa msaada na ushauri unaweza ukani-pm au ukani wasap 0718-302132