Aaaaaaaaaa.Watanzania mnapenda ujanjaujanja.
Mawakala waliigeuza hii huduma kama nyumba ndogo.
Sasa mmeshitukiwa
Voda wana wanyonya sana mawakala fikiria wakala kawekeza mtaji na mda plus kodi ya fremu na TRA....zen mtu akitoa 300,000....wakala anapata 1,100/ zen wao vodacom wanachukua elfu sita na usheee
1100 kwa muamala mmoja ni faida nzur mbona ... mawakal wakubwa kwa siku anaweza fanya hata miamala 100 ya design hiyo so kwa siku akapata 110000Voda wana wanyonya sana mawakala fikiria wakala kawekeza mtaji na mda plus kodi ya fremu na TRA....zen mtu akitoa 300,000....wakala anapata 1,100/ zen wao vodacom wanachukua elfu sita na usheee
Mkuu sio rahisi kihivyo.1100 kwa muamala mmoja ni faida nzur mbona ... mawakal wakubwa kwa siku anaweza fanya hata miamala 100 ya design hiyo so kwa siku akapata 110000
Mkuu unatakaje zaid ya hapo
Vodacom haipo pale kumnufaisha wakala au yoyote yuleVoda wana wanyonya sana mawakala fikiria wakala kawekeza mtaji na mda plus kodi ya fremu na TRA....zen mtu akitoa 300,000....wakala anapata 1,100/ zen wao vodacom wanachukua elfu sita na usheee
Ni kweli sio rahisi lakini kumbuka Wakala inabid uwe umekamilika kila huduma uwe nayo ndo utaona faidaMkuu sio rahisi kihivyo.