ngoshamaguzu
Member
- Jul 12, 2020
- 25
- 44
Natumaini mko vizuri mnapambana kutafuta riziki
Ngoja nijikite moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Leo trh 23 aug 21 kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa dar imetoa maelekezo ya kuanza kutumika kwa mfumo wa ulipaji gharama za kupaki magari kwa njia ya kielectroniki ambapo mitandao yote ya simu itatumika katika malipo hayo. Ambapo itaanza rasmi tarehe 1 sept 2021
Binafsi Imenishitua kutokana na uwepo wa ongezeko la tozo za ulipaji au utumaji pesa. Ila ombi langu kwa watendaji kutoa elimu kwa wananchi kabla ya kutoa maelekezo ya kuanza kwa utekelezaji.
Naomba kuwasilisha.
Ngoja nijikite moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Leo trh 23 aug 21 kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa dar imetoa maelekezo ya kuanza kutumika kwa mfumo wa ulipaji gharama za kupaki magari kwa njia ya kielectroniki ambapo mitandao yote ya simu itatumika katika malipo hayo. Ambapo itaanza rasmi tarehe 1 sept 2021
Binafsi Imenishitua kutokana na uwepo wa ongezeko la tozo za ulipaji au utumaji pesa. Ila ombi langu kwa watendaji kutoa elimu kwa wananchi kabla ya kutoa maelekezo ya kuanza kwa utekelezaji.
Naomba kuwasilisha.