Gharama za mashine ya kukamua mafuta ya alizeti

Akiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,445
Reaction score
214
Habari zenu wakuu!


Samahani naomba kuuliza gharama za mashine ya kukamua mafuta ya alizeti kwa anayejua , pia nitafurahi ukiniambia ni aina gani ya mashine ambayo ni nzuri . mimi nipo Dar lakini mashine nataka nikaifunge mkoa wa mbea maeneo ya mbalali .


nawasilisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…