Gharama za mashine ya kukoboa na kusaga

Gharama za mashine ya kukoboa na kusaga

Mhina Martin

Senior Member
Joined
Apr 3, 2017
Posts
144
Reaction score
189
Naomba mchanganuo wa gharama za kupata mashine ya kukoboa na kusaga fully Kwa DSM kwa mahitaji ya kijijini hasa iwekwe mkoa wa Tanga,karibuni wadau wazoefu kwa ushauri mnipe mwanga wa upatikanaji wa vifaa, gharama zake nk
 
Nina mashine 3 za kusaga na kukoboa zipo mkoa wa pwani, bagamoyo.

Kuna mashine ya kusaga mahindi.
Kuna mashine ya kukoboa mahindi.
Kuna mashine ya kukoboa mpunga.

Mashine hizo zinaendeshwa kwa deasel engines. Mradi kwa sasa nimeufunga kutokana na changamoto za usimamizi.

Nimeamua kuuza mashine zote pamoja na engines zake. Kama upo tayari tuwasiliane mkuu.
 
Nina mashine 3 za kusaga na kukoboa zipo mkoa wa pwani, bagamoyo.

Kuna mashine ya kusaga mahindi.
Kuna mashine ya kukoboa mahindi.
Kuna mashine ya kukoboa mpunga.

Mashine hizo zinaendeshwa kwa deasel engines. Mradi kwa sasa nimeufunga kutokana na changamoto za usimamizi.

Nimeamua kuuza mashine zote pamoja na engines zake. Kama upo tayari tuwasiliane mkuu.
Okay nakutafuta
 
Back
Top Bottom