Cc pascal mayallaWakuu nafikiria kufungua biashara ya kitaaluma (professional consultation firm).
Target ya wateja wagu ni wajasiriamali wadogo na wa kati wanaojihusisha keenye mnyororo wa chakula (food supply chain) yaani food producers,food suppliers,food processors,food handlers na wengine wengu waliopo kwenye sekta hii
Jana nimesoma nyuzi nyingi humu kuhusu biashara nikawa motivated sana na kusajiri firm.
Sasa mpango mkakati wangu wa kujitangaza ni kupitia TV,social media,na redio za mikoani.
Naomba wataalamu wanisaidie gharama za matangazo hasa kwa redio za kijamii ni shilingi ngapi kwa tangazo la sekunde 20-60?
Asanteni
Watu kama nyie mpo wengi sana, kazi yenu ni kukatisha watu tamaa na mna mikakati kabambe sana. Dalili zenu ni chache.Hadi hapo tayari umeshaanza biashara vibaya.
You are focusing on wrong things.
Hapa mwanzo tumia "word of mouth" kuwafikia wateja.
Kwanza nikikuuliza una wateja utaweza kujibu?
Kama hauna hata mteja mmoja hadi sasa unahitaji kupata guidance namna yakuanzisha biashara itakayofanikiwa.
Mkuu sorry labda nimejibu tofauti na matarajio yako. Ni vile nilitaka kukupa angalizo.
Huu mtego wajasiriamali wengi wanaoanza wananasa.
Siku njema.
Haina haja ukasirike.Watu kama nyie mpo wengi sana, kazi yenu ni kukatisha watu tamaa na mna mikakati kabambe sana. Dalili zenu ni chache.
1. Mnajifanya ni wataalamu wa kunyambua mkakati wa mdau na kutoa kasoro kibao.
2. Hamna biashara hata ya genge (pamoja na utaaalamu wenu).
3. Mko too pessimistic na hamkosi tatizo katika kila solution.
4. Mna roho mbaya na mna wivu, hamtaki mtu awazidi au afanikiwe katika mipango yake.
5. Hamfanikiwi katika mipango mingi mnayopanga.
BADILIKA
Huwazi vibaya ila you're too hypothetical, katika dunia hii yenye biashara zenye ushindani mkubwa unadhani ni kwa namna gani utaanza biashara kwa mbinu za kukuingizia pesa mfukoni bila kuanza kuzichomoa wewe in the first place?Haina haja ukasirike.
Hapa ni kujifunza tu.
Unachopaswa ufahamu kwenye business ni vitu viwili tu ndivyo asset.
Na kimoja wapo mtoa mada ndiyo ana-deal nacho.
Marketing.
Biashara ya consultation ni relatively cheap kuanza. In fact you can start with no money.
Mara nyingi entrepreneurs wanaoanza wanawekeza rasilimali nyingi kwenye mambo ambayo yanachomoa pesa mfukoni badala ya kuingiza.
Traditional marketing ni gharama kubwa.
Na ufahamu hakuna guarantee utapata wateja.
Sasa kama mambo ndiyo hivyo, je si salama kuanza na mbinu zitakazokuingizia pesa mfukoni badala yakuchomoa?
Do you see the point?
Haya sasa lete hoja.
Mkuu binafsi nimejaribu biashara tofauti na nyingi zilikufa.Huwazi vibaya ila you're too hypothetical, katika dunia hii yenye biashara zenye ushindani mkubwa unadhani ni kwa namna gani utaanza biashara kwa mbinu za kukuingizia pesa mfukoni bila kuanza kuzichomoa wewe in the first place?
If it's of value then spill it over, mkuu.Mkuu binafsi nimejaribu biashara tofauti na nyingi zilikufa.
Na katika observation yangu niligundua sababu za biashara kufa zote zinafanana.
Spending so much time and money on wrong things.
Nilihitaji kubadili mindset yangu kuepuka huo mtego.
Mkuu zipo mbinu zakupata wateja kabla hata hujawa na ofisi.
Kabla hata hujatumia senti yako kugharamia sales & marketing.
Binafsi nimekuwa mshauri kuhusu biashara mtandaoni kwa muda sasa and I didn't send a dime nilipoanza.
How did I start this business?
Well, that is another topic.
Mkuu umetema madini sana, Mwenye masikio na asikie!Hadi hapo tayari umeshaanza biashara vibaya.
You are focusing on wrong things.
Hapa mwanzo tumia "word of mouth" kuwafikia wateja.
Kwanza nikikuuliza una wateja utaweza kujibu?
Kama hauna hata mteja mmoja hadi sasa unahitaji kupata guidance namna yakuanzisha biashara itakayofanikiwa.
Mkuu sorry labda nimejibu tofauti na matarajio yako. Ni vile nilitaka kukupa angalizo.
Huu mtego wajasiriamali wengi wanaoanza wananasa.
Siku njema.
Mkuu asante kwa maoni yako,kazi hii nilikua naifanya toka 2014 just kwa unga unga nataka saivi nijitangaze zaidiHadi hapo tayari umeshaanza biashara vibaya.
You are focusing on wrong things.
Hapa mwanzo tumia "word of mouth" kuwafikia wateja.
Kwanza nikikuuliza una wateja utaweza kujibu?
Kama hauna hata mteja mmoja hadi sasa unahitaji kupata guidance namna yakuanzisha biashara itakayofanikiwa.
Mkuu sorry labda nimejibu tofauti na matarajio yako. Ni vile nilitaka kukupa angalizo.
Huu mtego wajasiriamali wengi wanaoanza wananasa.
Siku njema.