Gharama za mwanasheria

jMali

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2010
Posts
8,404
Reaction score
4,973
naomba mwanasheria yoyote anisaidie kunipa exact au walau estimates za gharama zake kama mwanasheria kwa kuandika memorandum na articles of association, ku-notarize na zote zingine zinazo apply ili nifungue kampuni

naomba pia address au namba ya simu (baada ya maelezo hayo). asante in advance
 
250,000/= to 350,000/=

Gharama zinahusu nini?
1. kuhusu kumwona mwanasheria kwa ajili ya consultation?
2. kuhusu ku-draft legal docs only?
3. kuhusu ku-represent client mahakamani?
4. kuhusu ku-attest docs?
5. kuhusu ku-apisha?
6....?
Mfafanulie huyo ndugu badala ya kumpa figure ambayo haina maelezo yoyote, right?
 

kuandika memorandum na article of association, ku-notarize na zote zingine zinazo apply ili afungue kampuni. Kama unafahamu zaidi, toa msaada wako. kwa profession mimi si mwanasheria lakini someone did all that for at approximately the range I provided.
 

Ok, thanks!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…