Gharama za nyumba ya kuanzia maisha

Gharama za nyumba ya kuanzia maisha

Wageni tukitaka kusleep over utatuweka kwenye Sofa au Jikoni!!? [emoji851]
 
Habari za muda huu wana jamvi.

Mwaka jana nimebahatika kununua eneo hapa Dodoma (Kizota) eneo la viwandani kule.

Nahitaji kujenga nyumba ndogo yenye Jiko, sebule, chumba kimoja na choo, kwa wale wazoefu na mafundi naomba mnisaidie kukadiria kiasi cha fedha nnachotakiwa kuwa nacho ili niweze kukamilisha matamanio ya kuishi kwangu.
Maeneo ya kizota bei zikoje viwanja mkuu
 
Back
Top Bottom