Gharama za postgraduate diploma in education (PGDE)

kamsongole

Senior Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
111
Reaction score
15
habari zenu wadau, naomba mnisaidie kwa anaefahamu gharama za kusoma PGDE UDSM, ada zake kwa ujumla. nimeangalia kwenye web yao nimepata fomu tu. thanks.
 
udsm ni tsh milion 3 laki 2 na ushee, udom ni tsh 1750000, chuo kikuu cha arusha(wasabato) ada ni Tsh milion 2. Open univ. Cjajua bado ila nafikiri itakuwa rahisi zaidi (hope less than 2 million).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…