Gharama za TRA zinafanya kumiliki gari Tanzania kuwa kama anasa

Gharama za TRA zinafanya kumiliki gari Tanzania kuwa kama anasa

kungwe

New Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
2
Reaction score
3
Hizi garama za kuagiza gari zinazotozwa na TRA kuna haja ya kupata maana yake na kwanini zinatozwa. Kwa sisi tusiojua tunaona kama ni wizi kuna kodi hadi ya railway.

Ama kuna anajua kwanni zinatozwa au mamlaka husika watusaidie. Inafanya kumiliki gari Tanzania iwe kama anasa, malipo ya TRA nisawa na bei gari.

Screenshot_20240814-192747_Chrome.jpg
Screenshot_20240814-192747_Chrome.jpg
 
Hizi garama za kuagiza gari zinazotozwa na TRA kuna haja ya kupata maana yake na kwanini zinatozwa. Kwa sisi tusiojua tunaona kama ni wizi kuna kodi hadi ya railway.

Ama kuna anajua kwanni zinatozwa au mamlaka husika watusaidie. Inafanya kumiliki gari Tanzania iwe kama anasa, malipo ya TRA nisawa na bei gari.

View attachment 3070087View attachment 3070093
Bajaji je?
 
Back
Top Bottom