kungwe
New Member
- Jul 15, 2021
- 2
- 3
Hizi garama za kuagiza gari zinazotozwa na TRA kuna haja ya kupata maana yake na kwanini zinatozwa. Kwa sisi tusiojua tunaona kama ni wizi kuna kodi hadi ya railway.
Ama kuna anajua kwanni zinatozwa au mamlaka husika watusaidie. Inafanya kumiliki gari Tanzania iwe kama anasa, malipo ya TRA nisawa na bei gari.
Ama kuna anajua kwanni zinatozwa au mamlaka husika watusaidie. Inafanya kumiliki gari Tanzania iwe kama anasa, malipo ya TRA nisawa na bei gari.