Elections 2010 Gharama za uchaguzi

Mtazamaji

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
5,937
Reaction score
1,440
Mwaka wa huu wa uchaguzi tume ya taifa ya uchaguzi inakuwa na bajeti iliyopitishwa kughaimia uchaguzi katika kila jimbo


  • Je wastani wa gahrama ya uchaguzi kwa kila jimbo ni shilingi ngapi?
  • majimbo yenye gharama kubwa za uchaguzi ni yapi na majimbo yenye gharama ndogo za uchaguzi ni yapi?
  • Kama kuna magari mapya yamenunuliwa ni gharama kiasi gani zimetumika na magari aina gani? Je uchaguzi ukiisha yanapelekwa wapi au yanauzwa kwa shilingi ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…