mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,068
- 6,758
Haya ndio makadirio ya ukweli, tena hapo awe anafuatilia kutoibiwa...Ukitaka kujua lumpsum, utakata tamaa!! We, andaa 21-25M kwa ajili ya msingi.
M 10 kwa ajili ya boma, M 21-30 kwa ajili ya slab, M 8 kwa ajili ya boma la juu.. M 20 kwa ajili ya paa.
Finishingi itategemea na wewe.
Sasa wewe jamaa upo serious kweli? Lete ramani, tukupe hayo makadirio, maana ombi lako ni tata. Hata kama ulimaanisha jengo la ghorofa la vyumba 2, ni muhimu kupata specifications za vyumba, ukubwa, nk. Kwa ulivyo uliza sidhani kama unaweza pata jibu zuri la kukusaidia hapa.Naomba Makadirio ya ujenzi wa ghorofa 2 ya kuishi
Kaka naomba tuwasiliane .Sasa ww jamaa upo serious kweli? Lete ramani, tukupe hayo makadirio, maana ombi lako ni tata. Hata kama ulimaanisha jengo la ghorofa la vyumba 2, ni muhimu kupata specifications za vyumba, ukubwa, nk. Kwa ulivyo uliza sidhani kama unaweza pata jibu zuri la kukusaidia hapa.
Watu kama hao wana hasira za maisha mwenzie kauliza swali ye anakuja kutukana wakati swali limeelewekaWacha ujinga, unafahamu BOQ ya nyumba inafanyikaje? Kwa taarifa tu mtu ambaye yupo kwenye hiyo field ukimwambia nyumba ya kawaida ya kuishi vyumba 3/4 self contained na paa la vigae atakupa bei ya kujenga iwe Dodoma, Dar au Arusha subject to unavyotaka wewe aina ya vigae, vyoo milango madirisha nk. Wacha kamba. Aliyeuliza ana mpunga wake anataka mwongozo wewe unasemaje? Yeye anataka ghorofa uliza anahitaji vyumba vingapi au ukubwa upi nk.