Huu mpango ufanye na mawakala wa kutoa mizigo bandalini, labda ungeni pm ningekupa namba zao, hawa watu wanajua how to deal na situation hizi, natumai una bahati kwa kuliingiza gari lako kutokea uingereza, kwani nasikia makadilio ya kodi kwa magari toka uingereza inakuwa ngumu kwa tra kwani wanakosa exactly value yake ktk mtandao ivo wanakukadilia tu.... Kuna kitu kama hicho.
Duh lakini pia gari ya 1997 nadaut km utaepuka kodi inayoitwa uchakavu, tra wakiona 1997 wanaanza kusherehekea kabisa, lakini uliza zaidi
lakini pia mwanagu ungelitoa japan ungekoma, hata kama umebargain bei uko Japan wakakupa discount likifika bongo wanalipandisha bei ipasavyo na unabamizwa 52% km kodi