Gharama za uzazi (maternity-delivery) hospitali za Tanzania

Gharama za uzazi (maternity-delivery) hospitali za Tanzania

Candid Scope

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2010
Posts
11,897
Reaction score
6,925
Watanzania naomba kujua gharama za kujifungua hospitali ni ngapi? Kuna rafiki yangu mke wake kajifungua nchini marekani na kaletewa billya $27,000.

Gharama hizo kwa Tanzania mtu unafungua hospitali.

Nijulisheni jamani
 
Serikalini hakunagharama yoyote sina uhakika na private but haiwezi kuwa kubwa kama hiyo.
 
Private hospitals ni kuanzia laki 3 kwenda juu inategemea na hosp yenyewe na kama una health insurance ni gharama zinashuka
 
Aga Khan hospital ni kama $1,500/=; na Trauma Centre naambiwa ni kama $4,000 pengine zaidi...sina uhakika sana!!

Watanzania naomba kujua gharama za kujifungua hospitali ni ngapi? Kuna rafiki yangu mke wake kajifungua nchini marekani na kaletewa billya $27,000. Gharama hizo kwa Tanzania mtu unafungua hospitali.
Nijulisheni jamani
 
Back
Top Bottom