Wakuu Bila Shaka Mtakuwa Mnaendelea Vyema Na Mchakato Wa Kusukuma Gurudumu La Maisha. Kwa Upande Wangu Namshukuru Mwenyezi Mungu Naendelea Vizuri Kabisa.
Uzi Huu Nimeuleta Kuhitaji Ufafanuzi Kuhusu Gharama Zinazotozwa Na Mamlaka Ya Mapato Tanzania(T.R.A), Endapo Mtu Akitaka Kubadili Umiliki Wa Chombo Na Matumizi.
Labda Nitolee Mfano Mdogo Wa Gari Kama Vile Vitz Ambayo Umeinunua Kwa Milioni 4 Kamili, Ukawa Umekamilisha Vigezo Vyote Vinavyotakiwa Kwa Ajili Ya Kufanya Zoezi Zima La Kubadili Umiliki Na Matumizi, Masalani Gari Ilikuwa Ya Biashara(Uber), Hivyo Unataka Kutoa Kwenye Commercial Kwenda Private Kisha Ubadili Na Jina.
Kwa Anaefahamu Gharama Nzima Ya Zoezi Hilo Husika, Ningependa Anifahamishe, Kwa Mfano Mdogo Wa Gari Kama Hiyo. Naamini Kwenye Wengi Kuna Mengi, Asante Sana Nawasilisha.
Uzi Huu Nimeuleta Kuhitaji Ufafanuzi Kuhusu Gharama Zinazotozwa Na Mamlaka Ya Mapato Tanzania(T.R.A), Endapo Mtu Akitaka Kubadili Umiliki Wa Chombo Na Matumizi.
Labda Nitolee Mfano Mdogo Wa Gari Kama Vile Vitz Ambayo Umeinunua Kwa Milioni 4 Kamili, Ukawa Umekamilisha Vigezo Vyote Vinavyotakiwa Kwa Ajili Ya Kufanya Zoezi Zima La Kubadili Umiliki Na Matumizi, Masalani Gari Ilikuwa Ya Biashara(Uber), Hivyo Unataka Kutoa Kwenye Commercial Kwenda Private Kisha Ubadili Na Jina.
Kwa Anaefahamu Gharama Nzima Ya Zoezi Hilo Husika, Ningependa Anifahamishe, Kwa Mfano Mdogo Wa Gari Kama Hiyo. Naamini Kwenye Wengi Kuna Mengi, Asante Sana Nawasilisha.