Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
Mbunge wa Viti Maalum kutokea Mkoa wa Mara Ghati Zephania Chomete tarehe 01 Machi 2023 ameshiriki Mkutano wa Uzinduzi wa Daraja la Mto Mori & Wamaya Katika Kata ya Kirogo Wilayani Rorya Mkoani Mara. Madaraja hayo yamegharimu zaidi ya Shilingi za kitanzania Bilioni 1.5.
Ikumbukwe kuwa katika Mkutano wa 10, Kikao cha 1 katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ghati Zephania Chomete (Mb)-Viti Maalum Mkoa wa Mara aliwasilisha Taarifa ya Mwaka mmoja kuhusu Shughuli za Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu Januari 31, 2023.
Wananchi wa Mkoa wa Mara kwa nyakati tofauti wamenukuliwa wakisema kuwa Chomete ni kiongozi muadilifu, wametoa maoni yao na kumuombea mema Chomete kwani amekuwa akifanya vizuri katika kazi zake za kibunge.
Ikumbukwe kuwa katika Mkutano wa 10, Kikao cha 1 katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ghati Zephania Chomete (Mb)-Viti Maalum Mkoa wa Mara aliwasilisha Taarifa ya Mwaka mmoja kuhusu Shughuli za Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu Januari 31, 2023.
Wananchi wa Mkoa wa Mara kwa nyakati tofauti wamenukuliwa wakisema kuwa Chomete ni kiongozi muadilifu, wametoa maoni yao na kumuombea mema Chomete kwani amekuwa akifanya vizuri katika kazi zake za kibunge.