Ghorofa jingine laporomoka. Wakenya nina swali la msingi kwenu...

Ghorofa jingine laporomoka. Wakenya nina swali la msingi kwenu...

Countrywide

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2015
Posts
20,694
Reaction score
32,527
Ndani ya wiki moja Kuna ghorofa liliporomoka, lilikuwa jengo la Ghorofa 7. Jana tena jengo la Ghorofa 5 nalo limeporomoka.

Hili swali niwaulize wakenya. Tatizo nini huko? Hakuna wahandisi? Wasanifu Majengo? Kwanini ni Kenya tu kila siku?

Hakuna serikali? Inawezekana vipi maghorofa kila leo yanaporomoka?

20221121_090656.jpg
 
Wanatumia mabua kujengea magorofa. Maana kuna report ya wataalam inasema 50% of Nairobi buildings are not fit for human habitation.
 
Ndani ya wiki moja Kuna ghorofa liliporomoka, lilikua jengo la Ghorofa 7. Jana tena jengo la Ghorofa 5 nalo limeporomoka.

Hili swali niwaulize wakenya. Tatizo nini huko? Hakuna wahandisi? Wasanifu Majengo? Kwa nn ni Kenya tu kila siku?

Hakuna serikali? Inawezekana vipi maghorofa kila leo yanaporomoka?

View attachment 2422833
Hao jamaa siku wakianza kutahiriwa watakua na akili timamu. Akili zao ziliondoka wakati wa Kuong'oa meno ya mbele kama njia ya tohara so tuwasamehe bure. Wanachojua ni kulinganisha sarafu yao na ile ya Tanzania kuuumbe wamejaa Ufisadi.
 
Saruji zao ni mbovu kabisa, na nondo wanazotumia ni substandard.

Wanaasili ya ubahili, wanapenda mambo makubwa kwa low cost.Mbona bongo hayaporomoki?
 
Ndani ya wiki moja Kuna ghorofa liliporomoka, lilikuwa jengo la Ghorofa 7. Jana tena jengo la Ghorofa 5 nalo limeporomoka.

Hili swali niwaulize wakenya. Tatizo nini huko? Hakuna wahandisi? Wasanifu Majengo? Kwanini ni Kenya tu kila siku?

Hakuna serikali? Inawezekana vipi maghorofa kila leo yanaporomoka?

View attachment 2422833
Duh, aisee hawa nyang’au ni shida.
 
Watakua hawana bodi ya viwango vya ujenzi ndio shida..
Tz mfano ukitaka kujenga gorofa mpaka had wa ardhi wakwambie eneo linafaa ucje jenga kwenye eneo linatitia bure...kwa hawa ndugu zangu nahisi ukiwa na hela tu unamwita fundi Michael anamaliza kaz ndio matokeo yake hayo
 
Saruji zao ni mbovu kabisa, na nondo wanazotumia ni substandard.

Wanaasili ya ubahili, wanapenda mambo makubwa kwa low cost. Mbona bongo hayaporomoki?
bongo kuna orofa gani? ustake nicheke kwa sauti bro
 
1. Rushwa
2. Ujenzi chini ya kiwango

Hilo lililoporomoka majuzi, inasemekana property developer alijenga ghorofa mbili, kisha baadae akaongeza na kufika 5.
 
Hao jamaa siku wakianza kutahiriwa watakua na akili timamu. Akili zao ziliondoka wakati wa Kuong'oa meno ya mbele kama njia ya tohara so tuwasamehe bure. Wanachojua ni kulinganisha sarafu yao na ile ya Tanzania kuuumbe wamejaa Ufisadi.
MK254
 
Back
Top Bottom