Gidabuday ana jipya kwenye mbio za nyika?

jogi

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2010
Posts
25,556
Reaction score
25,342
Tunaomba matokeo ya mashindano ya mbio za nyika yanayofanyika nchini Uganda ili tujue tambo za katibu mkuu wa chama cha riadha nchini ndg. Wilhelm Gidabuday zilikuwa na uzito gani.

N.B. aliahidi kuchana vyeti ikiwa atashindwa kuipatia medali nchi yake akiwa kiongozi.

Naomba kuwasilisha.
 
Naona kimya kulikoni!!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…