Gift gani inafaa kumpa mpenz wakati huu wa msimu wa ckukuu?( x-mass & new yr 2010)

Gift gani inafaa kumpa mpenz wakati huu wa msimu wa ckukuu?( x-mass & new yr 2010)

Supervisor

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2010
Posts
559
Reaction score
208
Jaman mi nawaza nawazua lakn jb cpati? Nimpe zawad gan mpenz wangu(ke) ajisikie furaha? Nisaidien jaman
 
Kama uwezo unaruhusu mnunulie gari dogo rangi ya pink au nyekundu.
 
Mwambie marry xmass.and happy new year...inatosha sana wallah....au wasemaje...atanuna...kama akinuna ujue apenda mshiko huyo..hana mpango..
 
zawadi nzuri uwe naye karibu sana kipindi chote cha sikukuu!usiende bar peke yako
 
Hii ndio X-mass yako ya kwanza ukiwa nae?
 
perfume..
hereni ndogo za dhahabu au gold...
mtoe out for romantic dinner.:embarrassed:
 
kama umeoa au single show her/him ww ni wake kwa 100%, muwe na furaha kubwa na kwenda shopping ya vitu vingi kwa X-mass, i wanna wish you a Marry X-mass & hppy New year 2011
 
mtungie mashairi ya mapenzi umuimbie,na siku ya x.mas tangu asubuhi mtayarishie break fast na mnunulie perfume au lotion inatosha. Na uwe nae siku nzima
 
msome kwanza, anapendelea nini zaidi katika laifustaili lake. kama kanapenda kula sana kanunulie chipsi kuku tu. kama kanapenda mziki kakanunulie CD ya marehem remmy ongala.
 
Kama mfuko wako mrefu-Jimmy Choo au Manolo Blahnik.
 
msome kwanza, anapendelea nini zaidi katika laifustaili lake. kama kanapenda kula sana kanunulie chipsi kuku tu. kama kanapenda mziki kakanunulie CD ya marehem remmy ongala.

ha ha ha! We klorokwini kama hakapendi swaga za remmy je? Au siku hiyo kanataka kale meee we unamwambia akanunulie kiepe.
 
Back
Top Bottom