njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
MWANAUMEGift ni mwanamke au mwanaume
yeye ni kuponga tu na kukomalia kutoa ushauri eti makocha wetu walifanyie kazi suala la umaliziaji.....Nasikiza mechi ya utopolo na Azam hapa kupitia UFM dah mtangazaji anajitahidi ila mchambuzi bwana Macha hapana kwa kweli,No nafkiri kuchambua mchezo unaoendelea ni kipaji kwelikweli na kujua soka vizuri.
Yaani tofauti yako na kina Kashasha hata kina Khalid wa radio one au yule Mwarabu/Mpemba wa Kizenji wa Azam au kina Ally kamwe inaonekana kabisa.
Uwe unaomba mtu akurekodi ukiwa unachambua halafu ujisikize bro, ni hayo tu.
ni msomi Wa chuo mbona kina kiemba hawajasoma wanaweza Ku analyse mechiShida yao wengi hawapendi kujiendeleza. UKASOME BRO
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app