anajikuta ana thamani mno ndo maana kumbe hamnaAisee mkuu umewaza nini kuongea hivyo
Hahahaha eti tindi la muwaTindi la muwa hilo.
DuuuuhhhhhEmbu tuacheni masihara hivi kwa Gigy mtu hata laki utoe ya nini!!?
Labda upewe bure tena wewe ndiyo uwape na masharti vinginevyo unamrudisha kwao
Kama natoa 10-15m anatoa 20m....(ATM) niko tayari hata sasa. Lakini nikitoa hizo halafu tunaanza kungumika! Thubutuu! Haitoki hata mia. Nyie subirieni muda utasema, ataanza nata wa 5m baadae atasema yoyote leteni. Mtakuja kuniambia.Milioni 10-15 ana nini cha ziada ambacho wanawake wengine hawana...Kazi kwelikweli wanawake wa digitali!!
Imelala kama reli ya kati.[emoji23][emoji23][emoji23]Na minyonyo yake iliyolala wakati hana mtoto!!!
Labda.Papuchi itakuwa inaji regulate.Ikikutana na kibamia inapungua size ya kibamia,kama ni muhogo inaongezeka.Aendelee kusibiri 15M.
Mbuzi mmoja anatosha tu.Kwa jinsi alivyo used ,NG'OMBE WAWILI TU wanatosha kama mahari yake,achilia mbali hiyo milioni 5.