Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Status
Not open for further replies.
Eeeeeeehhhhhh [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] huyu Msando nilikuwa sifuatilii mambo yake kumbe ndio yuko hivi?
Hapana kwakweli, mkewe nae naona anasubiri kaburi.
Huyu jamaa kazoea haya mambo, yaani pesa ilimpa ujuha akaona kufunua sketi ni akili, mkewe ana kazi ya ziada, ila mimi naona kwa mabinti ambao bado hawajaolewa kujifunza, ukiona mpo wengi kila siku unaambiwa sorry baby, achana na huyo jamaa maana atakuumiza milele 'chizi hua haponi kabisa, halafu wanawake ni wepesi sana kudanganywa kuna video ilikuwa inasambaa whatassp jamaa anafumua marinda binti akaanza kulia baby hunipendi hunipendi, usinifanye huko jamaa likasema BABY NAKUPENDA SANA, kusikia hivyo binti kalegea akawa anamsaidia jamaa kubinua tako na kulia naumia, huku rinda linachnwa, yaani mapenzi haya sijui tu wanwake why yanatuumiza hivi.
 
Shoga unawajua haswaaaaa. Huyo Jack nae mjinga sana.
Ni bora niolewe na mwanaume masikini ila mstaarab na sio mpuuzi kama huyo Albert.
wanawake wengi wanataka maisha bora na kuolewa na mtu anae julikana kumbe mwisho wake aibu, sasa leo binti kaona mama anamuangaliaje mwanae?! Shida tupu.
 
Kama sijakosea Yesu alisema mtu asimuache mkewe isipokua uasherati tu. Kwa hiyo wakristo vitu vinavyo kupasa umuache mkeo ni uasherati au kifo tu.
 
Mastaa ndio hao akina gigy nini sijui? Hapo ulimbukeni tu ndio unasumbua.....hauondoki hata pesa zijae vipi! Kama yule Said nani sijui.
Mkuu ameshalamba watoto wote wazuri wa bongo movie, after all sasahivi hawa video vixen wanakimbiza kuliko hao bongo movie maana huko bongo movie sasa wako wazee tu..
 
wanawake wengi wanataka maisha bora na kuolewa na mtu anae julikana kumbe mwisho wake aibu, sasa leo binti kaona mama anamuangaliaje mwanae?! Shida tupu.
Hiyo hapo shoga, kasafishe macho.
 
Nifah mya dear huu ubuyu hukuwahi kuupata?! Alikuwa anamla BOSS wake marehemu Nyag...yule aliefia Nairobi " inasemaekana baada ya msando kuoa na kibarua ndio kikaishia hapo, ..Jamaa anauzoefu wa kufumua marinda.
Malizia basi Nya..........??
 
Mkuu ameshalamba watoto wote wazuri wa bongo movie, after all sasahivi hawa video vixen wanakimbiza kuliko hao bongo movie maana huko bongo movie sasa wako wazee tu..
Kama analamba hao bongo movie stars wala sishangai haya yanayomtokea ndio class yake. Pesa na class ni vitu viwili tofauti. Tangu alipokuwa anabishana na yule mtoto wa mkuu wa polisi wa zamani nilishajua ni mtu wa aina gani na kilichotokea ni muendelezo tu na bado mengi yatakuja.
 
Hiyo hapo shoga, kasafishe macho.
Mungu wangu, Mungu simama na hawa wanaume uliotuambia ni vichwa sasa sijui sie mikia tufanye yepi kama kichwa kimepoteza dira hivi, looo! Aibu naona mimi kumtazama huyo Jack, pole sana mama .
 
Wanawake tuna taabu sana, mie sijui kama nngepata ujasiri wa kubaki na hyo mwanamme sijui waweza mvizia usiku ukamchoma visu bure
Unasema tu, kwani mbona hata mkijua mwanaume anacheat bado mnang'ang'ana? Wanawake ujanja wenu ni kuombwa msamaha tu huku jianaume umejipigisha magoti na machozi ya uongo uongo..

Hata mkewe akiangalia a bright future aliyonayo na Alberto hawezi hata kufikiria hayo.. Unafanya mchezo mke unatembea na benz kesho yuko na Range, unaishi kwenye bungalow, watoto wanasoma Brueburn.. Wanaume makapuku ndio huanjwa kirahisi rahisi tu.. Unaweza kuta Alberto kujituliza na mawazo yupo na mkewe Masai Mara hapo wakitoka hapo wanaingia Ibiza wakirudi mkewe hata huyo Gigy hamkumbuki..
 

Fact!
Huwa nawaambia wanawake wenzangu hilo suala huwa hawasikii. Baadae ambayo huwakuta wanaanza kunionea aibu.
 
Mimi ningeshaacha nae zamani hata kabla ya Gigy manake hajaanza leo.
Nifah, ndoa hizi zina mengi wewe acha tu, kuna mama mmoja raia wa kigeni enzi zile UN ICTR ndio imeanza hapa town, mwanaume mmoja toka Ghana malaya alikuwa balaa kumbe anafumua marinda siku hiyo karudi kalewa nguo zina mavi gouse girl kagoma kuziweka kwenye mashine afue, mama wa watu kafua na kuanza kumueleza msichana jinsi mume anavyo mtesa kwa umalaya na kumla mkundu kwa nguvu mpaka kazoea, lakini ukimkuta kavaa mavazi ya kwao na kilemba kile ndani ya gari utatamani mume amuacha uolewe wewe unaepanda toyo kila siku, ndoa hizi zinavumilika tu, hakuna jinsi ila usiombe uyaone acha uyasikie tu, sijui mke wake ana hali gani>
 
Mkuu don't try to underestimate him.. He is a classic guy, I know him in personal.. Tatizo lake pekee ni kuutaka ustar kwa nguvu na kuwaona mastar kama miungu watu hivi..
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…