Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Status
Not open for further replies.
Si mmewafuata, kwani wanawafuata majumbani mwenu?
Hao wanaofanya hivyo huwa wanaanza kufata bia kwanza mwisho wa siku ndio hunasia huko.. Na akikukamata akajua una vipesa basi hodi za kwa waganga za kienyeji zinaanza. Ukitoka kazini unashangaa tu gari imefika Kona Bar hata bila kujua umefikaje.. Mimi ndio maana naishia kuwapa tip tu nikimaliza kinywaji na weekend ijayo nikirudi wala usijifanye kunijua jua sana.. Ila ukijifanya kukaa kaa nao na kukubali mitego yao aisee ni lazima uende na maji..
 
Safari moja huanzisha nyingine, utaanza na tips kesho utaendelea na vingine. Kila la kheri ktk kushikwa.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Nawaombea kwa M/Mungu wavujishaji waongezeke ili kukomesha tabia za waume za watu kujitoa ufahamu kichwani na kujivika ujinga
Haohao wavujiahaji wakianza kusema mambo yakweli kuhusu wanawake walioolewa wanavyochepuka,mnaanza kusema ni wambea au wanataka kuvunja ndoa,wakati aliyevujisha ni mmbea wa kielectoniki na anayesambaza maovu kwa njia yakusema tu naye ni mnbea wa ki-analojia.
 
Ambao hamjaiona video nendeni kwa shilolekiuno_official (shishi boy)
Mimi nimeionea huko.
Mange kaiweka na kuifuta ndani ya sekunde, sijui Msando kampandia hewani? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Safari moja huanzisha nyingine, utaanza na tips kesho utaendelea na vingine. Kila la kheri ktk kushikwa.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Haipo hiyo.. Nilichomoka mtego mmoja huo basi hawatakaa wanikamate milele.. Katika wanawake ninaowaogopa sana ni hawa bar maids. Asikudanganye mtu 99% yao ni washirikina hatari..

Kuna rafiki yangu mmoja anafanya SBS Mtwara, watu wa mafuta na gesi hao, mshahara ni over 18 Million, lakini kanasa kwa bar maid na akamtelekeza mpaka mkewe na kumuoa huyo bar maid na sasa anaishi nae. Sasa ukimuona huyo bar maid ndio kituko balaa, msichana si msichana wala mmama si mmama.. Yaani haingii hata theluthi kwa mkewe.. Na jamaa alibadilishwa mpaka dini.. Bora hata vitoto vya chuo kuliko hao bar maids aisee teh teh teh
 
Hata mi Giggy akiingia kwenye 12 zangu namgegeda.. tena naona msando alimchelewesha halafu anasema kuwa ye si malaya huku ukishatembea na mwanaume au mwanamke zaidi ya mmoja at the same time we ni malaya tu.
 
Msando ndio ambae ACT wamempa nafasi ya ushauri wa Chama nafasi ya Kitila.. Kama gigi kamfanya hivi, je Wema aliemtetea katika kesi kamfanyaje
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Haya sasa, na mtarogwa hadi mkome si mmeamua kujitoa ufahamu!!
 
Huyu Msando si kaoa jamani? Uchafu gani huu?
Kiukweli hapa tu ndipo huwa nshindwa kuwaelewa wanawake wenzangu. Mwanaume pamoja na uchafu huu bado atakuwa proud nae! Dah
Usimdanganye mwanamke mwenzako....wanaume ndio hao hao ila wengi hawarekodi matukio yao kama wakili msomi.. .Mzee wa evidence maana kesho akiulizwa awe na chakuonyesha[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Kabisa hakuna jipya apo kaonekan kwa kua ni maarufu ila kuna watu wa kawaida wanafanya machafu kuliko ayo na mwanamke anamsameh mume wake na maisha yanaedlea vzuri
Umenena vema,yaani kuna watu wakawaida wanafanya uhuni mfano kufumuliwa marinda,kufumua marinda na mengine mengi ya aibu,lakini kwasababu unakuta anayefanya hayo kwa mwingine ni dereva bodaboda,au mtu houseboy,wala hasemwi kiviiilee... ila uwe na taito,utakoma kama wakili msomi anavyokomeshwa sasa hivi,ndiyo maana Yesu alipopelekewa yule mama aliyekamatwa kwakosa la uzinzi,aliwaambia wale waliomshtaki yule mama kua 'ambaye hajawahi kutenda dhambi na awe wa kwanza kurusha jiwe',wale watu waliondoka,ingawa nadhani kwa kizazi chetu watu wengi siyo conscious,wangemrushia tu huku wakiwa na madhambi yao.
 
Mbona hakuna cha maana alichoongea gigy, inavumilika kujua mwenzio anakucheat ila kumuona live dah moyo unaweza kusimama....
Sipati picha mke wake baada ya kuona hivo na msando anavojitahidi kumpost kujifanya anampenda pole mke wake
Kesi za kushikana kila uchao....halafu mji mdogo kama Arusha unategemea nini?
 
Ndg kama ni huyu tina anayefanya kampuni ya simu mfupi hakuna kitu pale labda alipokuwa primary. Hana uzuri wowote na siku za nyuma hakuwahi kutulia alikuwa anatafuta jina na kudundadunda sana mjini.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…