Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
Mkuu my first and last time kuingia club was Maisha dom, what I saw from vibabu...Mnamshangaa msando, siku ukibahatika Kuingia 84 au Maisha club Dodoma mbona utabaki mdomo wazi, Kuna waheshimiwa wanajua kubambia na kubahishia, utazani beberu.
Umenichekesha sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mnamshangaa msando, siku ukibahatika Kuingia 84 au Maisha club Dodoma mbona utabaki mdomo wazi, Kuna waheshimiwa wanajua kubambia na kubahishia, utazani beberu.
Kabisa dear alisema hajawahi kupata mapenzi ya mzazi maana hakumjua baba ake na mama ake hakuwahi kumpenda maana ktk watoto wote baba ake tu ndio hakuwa anatuma HELA za matumizi kwa mama, ila alipata bahati ya kwenda kumzika baba ake baada ya kufariki aliambiwa na mama ake babako kafa basi akaenda masibani.Toooooba!!! Kumbe hata tusimlaumu jamani. Hadi huruma imeniingia ghafla.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kabisa hii kitu si ya mchezo mchezoHaya mambo hayana baunsa[emoji2] [emoji2] lawyer kalainika. K sio kitu cha mchezo
Ni kweli kwa sasa ni ngumu sana kumjua mpenzi wa kweli maana hata maana ya mapenzi wengi hawajapata bahati ya kuijua wanajua kupewa pesa na good time ndio mapenzi bali kupta mtu wa kukujali na kuogopa kukuumiza ni ngumu sana, yaani mngetuhurumia tu maana hakuna kiumbe muaminifu na mwenye mapenzi kama mwanamke, anatongozwa anakubali anaenda anapanua miguu bila hata kujua ni kitu gani kinatumbukizwa huko..Shida mno.nadhani wanawake mnalakujifunza zaidi katika mapenzi kushinda mapenzi yenyewe nawaone huruma sana dada zangu wakipindi hiki cha digital yaani for your stronger hearts mmekuwa mkiangua chini ya bazazi na wanaume wanyama but wengi wakiamua kuongea na mioyo yao kwa ukaribu hutakuja kuona ika hovyo katika mapenzi
Haya bana acha mtuowe..Kuolewa ni bahati jamani, sasa wote mkitukimbia sisi wenye fedha tutamuoa nani![emoji12]
So sad[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]Kabisa dear alisema hajawahi kupata mapenzi ya mzazi maana hakumjua baba ake na mama ake hakuwahi kumpenda maana ktk watoto wote baba ake tu ndio hakuwa anatuma HELA za matumizi kwa mama, ila alipata bahati ya kwenda kumzika baba ake baada ya kufariki aliambiwa na mama ake babako kafa basi akaenda masibani.
Akiwa anapost familia yake mm najiona mwny dhambi,kumbe niko poa tu,mm vitoto vya 20's vinanipenda vyenyewe silazimishi.View attachment 512548
Anaiabisha familia yake
Kuoa sio mwisho wa kupenda wwHuyu Msando si kaoa jamani? Uchafu gani huu?
Kiukweli hapa tu ndipo huwa nshindwa kuwaelewa wanawake wenzangu. Mwanaume pamoja na uchafu huu bado atakuwa proud nae! Dah
Usihofu atamsameheMbona hakuna cha maana alichoongea gigy, inavumilika kujua mwenzio anakucheat ila kumuona live dah moyo unaweza kusimama....
Sipati picha mke wake baada ya kuona hivo na msando anavojitahidi kumpost kujifanya anampenda pole mke wake
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Haya bana acha mtuowe..