halloperidon
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,096
- 5,254
Hyo video ipo wapi?Hapo kadanganya
Lzm aliliwa hajasema
Mtu mwenye mke hawezi kusambaza video ya namna hiyo....hyo video kavujisha Gigi au rafiki zao walokuwanao
Hahahaaaaaa kweli, this is too much. Nimemdharau sana jamaa.
mwili si wake jamani? kuna mwanaume ambae hagegedi wanawake pembeni ya ndoa? yeye sio wa kwanza au wa mwishoHahahaaaaaa kweli, this is too much. Nimemdharau sana jamaa.
Hizo ni inshu binafsi mkuu na kila Mtu ana yake,kuwa mheshimiwa na uhalisia wa tabia ni vitu viwil tofautMnamshangaa msando, siku ukibahatika Kuingia 84 au Maisha club Dodoma mbona utabaki mdomo wazi, Kuna waheshimiwa wanajua kubambia na kubahishia, utazani beberu.
Usiombe yakukutemwili si wake jamani? kuna mwanaume ambae hagegedi wanawake pembeni ya ndoa? yeye sio wa kwanza au wa mwisho
Kie Kie Kie Kie Kie!Mnamshangaa msando, siku ukibahatika Kuingia 84 au Maisha club Dodoma mbona utabaki mdomo wazi, Kuna waheshimiwa wanajua kubambia na kubahishia, utazani beberu.
Shemela kama wewe ni wa ule upande wa ndoa yake mke mmoja basi ndo hivyo hadi kifo kiwatenganishee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23] .Huyu Msando si kaoa jamani? Uchafu gani huu?
Kiukweli hapa tu ndipo huwa nshindwa kuwaelewa wanawake wenzangu. Mwanaume pamoja na uchafu huu bado atakuwa proud nae! Dah
Huyo ni mwanamme Kama wanaume wengine rijali, kiongozi au sio kiongozi. Msifukue makaburi!Msando ndio ambae ACT wamempa nafasi ya ushauri wa Chama nafasi ya Kitila.. Kama gigi kamfanya hivi, je Wema aliemtetea katika kesi kamfanyaje
Insta kwa shilolekiuno_official (shishi boy)Hyo video ipo wapi?
Kumbe unamfahamu huyo chiz fresh [emoji1] [emoji1] mzee wa mitusiInsta kwa shilolekiuno_official (shishi boy)
Pilipili ikiingia machoni huskikii muwasho??Namuwazia mkewe kesho asubuhi anaamka kapendeza anaenda ofisini watu wanamtazama kama nyanya mbichi[emoji21] [emoji21]
Ni fedheha tupu....
Na akili za gigy tunazijua kilichomsibu Alberto kujirecord ni nini[emoji35] [emoji35] [emoji36]