Gigy Money asema yupo tayari kucheza filamu za ngono kwa sharti hili

Duuuh!!!
Ni kwamba dunia imevaa bikini au ni vile wanasemaga kazi ni kazi mradi mkono uende kinywani??!!!

Bwana Yesu atusaidie. Hili si jambo jema kabisa
 
Alikimbia matibabu mirembe hivyo siwezi kushangaa Sana anayoyasema.
 
Kwani huyu gigy money hakukamatwa kwenye lile kundi LA makahaba waliokamatwa???
Yeye wake anaufanyia Serena, double tree, Ramada hivyo hawezi kamatwa ni mwendo wa 5 stars.Na huko ndo kuna makahaba wa viwango wale aliowasema ney wa mitego.
Magufuli akienda na huko atafanya vizuri Sana.
 
Anataka kufanya collabo na kina Wesley pipes na Mandingo.

Chaputa watafurahi Sana.
 
Alafu watu wanakamata makahaba mtaani ambao wana hali za chini na maisha magumu! Kumbe kuna Malaya kama hawa wanaojiita Malaya special, bila kipingamizi huyu anaonekana muuzaji tuu!!
 
Kuna millions wanacheza hizo filam za ngono bure kabisa...
asije kudanganywa atalipwa mamilioni akaishiwa kutapeliwa
hao kina Cherokee tu ni maarufu porn stars na wanalipwa dolar 800 tu kwa saa...
Kwa saa wakati camera iko ON au ni kila saa maadam filamu ikiwa sokoni?
 
Magufuli anawapa wakat mgumu mno Dada zetu..!ukimwi hauwez isha.
 
Kuna mambo unatakiwa kuyafanya bila kuacha footprint ili hata ukibadili mtazamo wako usijutie maamuzi yako ya nyuma. Sasa piga picha mtu kama huyo amecheza filamu hizo halafu baadae akili ikamrudi na kugundua alichofanya hakikuwa kitu sahihi wakati huo filamu iko mitandaoni na madukani atafanya nini? Huyo binti anaonekana amezidiwa akili na wema ambaye aliweza kufikiria atakuja kuwa mbunge hata kama hakuupata.
 
Yuko tayari kucheza filamu ya ngono gani? Ka dau gani?

Ngono ya siku hizi si sawa na ngono ya bibi yake, kuna watu watasema wanataka kuona double fisting.

Ataweza?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wadau
 
Mwache mwenzenu atangaze biashara yake!
Sasa, anataka kukaa mjini ni kichwani hamna kitu, shurba za kutafuta kihalali haziwez, urembo wa kuwekwa ndani jumla na wenyenazo hana! Unategemea nn, wache aendelee kuburudisha watu tu
 
Yeye wake anaufanyia Serena, double tree, Ramada hivyo hawezi kamatwa ni mwendo wa 5 stars.Na huko ndo kuna makahaba wa viwango wale aliowasema ney wa mitego.
Magufuli akienda na huko atafanya vizuri Sana.
bado hajafika hadhi ya 5 star hotels,huyu ni kahaba anayechipukia.huyu level yake ni ma lodge,akijitahidi sana 3 star hotel,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…