Gigy Money: Niko kwenye uhusiano wa kimapenzi na Gardner kwa miezi 6 sasa

Gigy Money: Niko kwenye uhusiano wa kimapenzi na Gardner kwa miezi 6 sasa

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
16,515
Reaction score
28,506
gadnergigy.jpg


MUUZA sura kwenye video za Kibongo, Gift Stanford ‘Giggy Money’ amefunguka kuwa mtangazaji maarufu Bongo wa Clouds FM, Gardner G. Habash hachomoki kwake na hadi sasa wako kwenye uhusiano wa mapenzi kwa muda wa miezi sita.

Gigy mefunguka haya baada ya picha zinazomuonesha akiwa kwenye mapozi ya kimahaba na Gardner kusambaa kwenye mitandao ya kijamii.
Giggy alisema mtangazaji huyo amekuwa mtu wa muhimu kwake kwa sasa.

“Kwani kuna tatizo nikiwa na Gardner? Yule ni mtu muelewa na sahihi kwangu, ninafikiri kupitia yeye nitajifunza mambo mengi na kuzidi kufanikiwa kwa sababu yeye ni moja kati ya watu ambao wako kwenye tasnia ya burudani kwa muda mrefu,” alisema Giggy Money.

Gardner alipotafutwa ili aweze kueleza kuhusu ishu hii alisema:

“Nipo karibu na Giggy lakini hatuna uhusiano wa kimapenzi, kwa hiyo kama anasema hivyo si kweli lakini yeye ni shabiki wangu na mimi ni mshabiki wake, ninapenda pia kazi anazozifanya,”.

Source: Tanzania Today.
 
Bila shaka Huyu dem kichwa yake haipo vizuri
Mara aseme anauza nyapu,Mara anataka kucheza porn, Mara katembea na masuperstar wa bongo, nk......
 
Mbna hiyo picha kapigia studio za clouds mana hiyo sehemu picha nyingi za watangazaji wanapigia hapo ......kwahiyo huyo dem anatafuta kiki uchwara tu
 
dah, mbeya ni kubwa sana sasa cjui huyu dada ni mnyakyusa mwenzangu wa mbeya sehem gan,? mana mmmh!!
 
Aaah kapiteiiiiiin!! ana pesa kwl, hzo lak 5 daily ni shda
 
gadnergigy.jpg


MUUZA sura kwenye video za Kibongo, Gift Stanford ‘Giggy Money’ amefunguka kuwa mtangazaji maarufu Bongo wa Clouds FM, Gardner G. Habash hachomoki kwake na hadi sasa wako kwenye uhusiano wa mapenzi kwa muda wa miezi sita.

Gigy mefunguka haya baada ya picha zinazomuonesha akiwa kwenye mapozi ya kimahaba na Gardner kusambaa kwenye mitandao ya kijamii.
Giggy alisema mtangazaji huyo amekuwa mtu wa muhimu kwake kwa sasa.

“Kwani kuna tatizo nikiwa na Gardner? Yule ni mtu muelewa na sahihi kwangu, ninafikiri kupitia yeye nitajifunza mambo mengi na kuzidi kufanikiwa kwa sababu yeye ni moja kati ya watu ambao wako kwenye tasnia ya burudani kwa muda mrefu,” alisema Giggy Money.

Gardner alipotafutwa ili aweze kueleza kuhusu ishu hii alisema:

“Nipo karibu na Giggy lakini hatuna uhusiano wa kimapenzi, kwa hiyo kama anasema hivyo si kweli lakini yeye ni shabiki wangu na mimi ni mshabiki wake, ninapenda pia kazi anazozifanya,”.

Source: Tanzania Today.
Yallaaaah
 
Jmn hamuelewi udaku??somen kichwa cha hbr afu msome kilichomo ndani!!!wamebadilisha maana aliposema kwan hta nikiwa na gadner kuna tatizo???hpo wamepata pa kuuzia gazeti shenzy zao!!!!
 
analazimisha attention maana mzee wa kukojoza ndo anaongoza kwenye Billboard wiki hii
 
Garner anavunga nin so afunguke tu mbona Mtoto wa kike hapo katiririka vya kutosha
 
Back
Top Bottom