Gigy ndiye aliyemfundisha Amber Lulu Kudanga ila kwa sasa Gigy role model wake Amber Lulu.

Gigy ndiye aliyemfundisha Amber Lulu Kudanga ila kwa sasa Gigy role model wake Amber Lulu.

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Miaka ya nyuma kidogo huyu Amber Lulu alikuwa changudoa mchafu mchafu anadanga hapo ambiance ,miguu haieleweki imekomaa komaa ,sura nzito kama futari ya magimbi, tumbo kubwa,maziwa yametepeta kama bdala yani kwa kifupi alikuwa kama beki tatu kutoka hukooo wanapokula nyama ya mbwa.

Amber Lulu kupitia kudanga danga kwake akapata bahati ya kujuana na Gigy enzi hizo Gigy anajina , Gigy akaanza kumfundisha ujanja Amber Lulu kwa kumbadilisha kwanza muonekano krimu kwa sana ,madawa ya kupunguza tumbo ya kila aina Amber alikunywa ili angalau awe na mvuto.

Baada ya hapo Gigy akaanza kumuunganishia kwa wachati Amber Lulu ,Amber Lulu baada ya kuanza kupata visenti na kijina wakaanza kuvimbiana na Gigy na kuanza tabia ya kuibiana wachati .

Hiyo tabia ya kuibiana wachati ikaenda mwisho wakakaa chini kupata usuluhisho kila mmoja hakuna kuingilia danga la mwenzake.

Mpaka wanafikia pointi hiyo Amber alikuwa ameshapata connection zaidi za madanga yenye pesa kwa hiyo akampiga gepu kubwa sana Gigy .

Gigy wivu ukamuingia akaanza kujitongozesha kwa Diamond lakini wapi akaishia kugonga ukuta.


Maskini ya Mungu siku hizi Gigy ameanza kudanga cheap cheap hata kwa elfu 50 unalala naye bila shida kabisa jinsi maisha yalivyuomchakaza .Mbaya zaidi siku hizi ameanza kuiga muonekano wa Amber Lulu yani kamfanya Amber kama ndiye role model wake wakati kiuhalisia yeye ndiye aliyemfundisha kudanga Amber.
IMG_20190310_002912_833.jpeg
IMG_20190310_002232_767.jpeg
IMG_20190310_002252_047.jpeg
 
Mi siwezi hukumu kitabu kwa yaloandikwa juu...soma ndani

Hawa mabinti wawili wote walitelekezwa na baba zao utotoni..halafu mama hali ngumu
Unakuta mama anaumwa yuko hoi kitandani anakuomba ukamtafutie hela japo ya panado na mlo.na watoto wa like tunavonyanyasika sasa.usipoangalia unajikuta unajikuta umeingia kudanga bila kupenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi siwezi hukumu kitabu kwa yaloandikwa juu...soma ndani

Hawa mabinti wawili wote walitelekezwa na baba zao utotoni..halafu mama hali ngumu
Unakuta mama anaumwa yuko hoi kitandani anakuomba ukamtafutie hela japo ya panado na mlo.na watoto wa like tunavonyanyasika sasa.usipoangalia unajikuta unajikuta umeingia kudanga bila kupenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku Gigy alishawahi kukiri hii kitu mpaka anatoa machozi. Tangu siku hiyo nikaelewa why yuko hivyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So nikiwa na elfu 50 nampataje?
Miaka ya nyuma kidogo huyu Amber Lulu alikuwa changudoa mchafu mchafu anadanga hapo ambiance ,miguu haieleweki imekomaa komaa ,sura nzito kama futari ya magimbi, tumbo kubwa,maziwa yametepeta kama bdala yani kwa kifupi alikuwa kama beki tatu kutoka hukooo wanapokula nyama ya mbwa.

Amber Lulu kupitia kudanga danga kwake akapata bahati ya kujuana na Gigy enzi hizo Gigy anajina , Gigy akaanza kumfundisha ujanja Amber Lulu kwa kumbadilisha kwanza muonekano krimu kwa sana ,madawa ya kupunguza tumbo ya kila aina Amber alikunywa ili angalau awe na mvuto.

Baada ya hapo Gigy akaanza kumuunganishia kwa wachati Amber Lulu ,Amber Lulu baada ya kuanza kupata visenti na kijina wakaanza kuvimbiana na Gigy na kuanza tabia ya kuibiana wachati .

Hiyo tabia ya kuibiana wachati ikaenda mwisho wakakaa chini kupata usuluhisho kila mmoja hakuna kuingilia danga la mwenzake.

Mpaka wanafikia pointi hiyo Amber alikuwa ameshapata connection zaidi za madanga yenye pesa kwa hiyo akampiga gepu kubwa sana Gigy .

Gigy wivu ukamuingia akaanza kujitongozesha kwa Diamond lakini wapi akaishia kugonga ukuta.


Maskini ya Mungu siku hizi Gigy ameanza kudanga cheap cheap hata kwa elfu 50 unalala naye bila shida kabisa jinsi maisha yalivyuomchakaza .Mbaya zaidi siku hizi ameanza kuiga muonekano wa Amber Lulu yani kamfanya Amber kama ndiye role model wake wakati kiuhalisia yeye ndiye aliyemfundisha kudanga Amber.View attachment 1042001View attachment 1042002View attachment 1042003

Sent from my Nokia 6 using Jamii Forums mobile app
 
Last week Giggy alikuwa Cocobello na huyo jamaa yake mnaija anayempost sana instagram.

Kwenye picha na uhalisia ni tofauti kabisa,hata wowowo si kubwa kivile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
iwapo utaweza kaa na madada wa type hii.na kuongea nao...itakujia huruma na machozi yatakutoka.....nimewai kaa na kuongea na mmoja wa hawa walio ktk uzi huu kwa kirefu tu (alikuwa na birthday yake ) ni wapambanaji wanaojitaidi kutoka na kuwa na good and peacefully life...walipotoka na maisha wanayoishi wazazi wao ni huzuni sana...lets pray for them badala ya kifurahia life yao🙏🙏🙏
 
Last week Giggy alikuwa Cocobello na huyo jamaa yake mnaija anayempost sana instagram.

Kwenye picha na uhalisia ni tofauti kabisa,hata wowowo si kubwa kivile.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli tunaoteseka ni sisi wapenzi watazamaji, ukicheki watu wa insta waweza kukufuru teh kumbe wanajijua walivyo
 
Back
Top Bottom