Ginimbi: Kutoka umachinga mpaka ubilionea

Mkuu we sio wa zamani. Chiba jamaa kafupisha alimaanisha sonchiba kama sijakosea katika miaka ya 80"-90" kulikuwa na mcheza filamu mmoja wa kihindi alikuwa mlemavu akiitwa sonchiba. Basi tokea hapo walemavu wakaanza kuitwa hivyo.
Mr Bean, [emoji16][emoji16][emoji16], [emoji106][emoji106][emoji106], Kweli we wa kitambo
 
Hivi huko sehem zingine hakuna wapenda mteremko kama akina wema,tunda,nampa P, wolper,shishimbi lole nk?????maana huyo jamaa angekuwa huku kwa umri huo na mihela hiyo na huo mwili asingeoaa kabisa angekuwa anawatembezea tu [emoji533][emoji533][emoji533]
 
Mbona anawatembezea akina Vera Sidika!
 
Ah hii komenti imenichekesha sana mkuu
 
huyu si mfuga ng'ombe wa chattle huyu? mbona anapiga picha kama kaja leo mjini kumbe amekuwepo muda mrefu tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…