Ndiyo nilikiwa nataka nikutag, mume huyu hapa, bwna shemeji 😝🤼♀️
wewe dada weweeeee lini nilisema nataka mume humu mimi🤣nenda wewe basiNdiyo nilikiwa nataka nikutag, mume huyu hapa, bwna shemeji 😝
Hujasema, nataka nikuozeshe tu kwa huyu. Mzima lakini. Baadaye tutakutana kule...wewe dada weweeeee lini nilisema nataka mume humu mimi🤣nenda wewe basi
m mzma sjui wew,, naomba tuishie apa,tukutane badae kilingeni...tukafurahi na kuinjoiHujasema, nataka nikuozeshe tu kwa huyu. Mzima lakini. Baadaye tutakutana kule...
Sio mabaya age is just a numberWe una miaka 30 lakini mwanamke anaweza kuwa na 35...sasa hapo si inahitaji single Maza kabisa!
😁😁Yupo mmojaa Zanzibar nikupe namba? Ana mtoto mmojaa yuko form three