Girlfriend wangu ametekwa,alazimishwa kufanya mapenzi at a gun point naombeni ushauri

Angekuwa si malaya ungewezaje kumtoa bikra nje ya ndoa?

Jee, ulikuwepo wakati anatekwa na bastola? Au ndio story aliokupa yeye?

Usiwe ****, kama hiyo story kakupa yeye basi kakudanganya kijinga nawe umeingia mkenge kwa kuwa unamuamini sana.


Dah! Faiza.....
 
Mkuu nenda karipoti polisi kwanza kwa vile umesema bastola imetumika kumlazimisha kufanya mapenzi.

Huyu dada yuko katika matatizo makubw akushinda unavyofikiria, naona kama umeangalia upande wako tu kwamba uendelee nae au hapana huku umesahau kwamba usalama wake huko mashakani.
 

Hii story ina maswali mengi....
1. Kama alibakwa campas hakupiga kelele kuomba msaada?
2. Alikuwa peke yake kipindi cha kutekwa?
3. Mbakaji aliingia campas na gari? Wakati wa kutoka alipitaje geitini?huyo msichana wako kwa nini hakuscream?
4. Msichana wa chuo kikuu hajui evidence ya ubakwaji inapatikanaje?kwa nini hakupitia hospital akaenda kuoga?
5. Mbakaji alijuaje huyo msichana anasoma hapo chuoni ina maana wanawasiliana mara kwa mara
6. Unasema alitekwa...? Katika campas mtu akuwekee bastola ingia kwenye gari watu wasione? Mmmmh angekimbia angethubutu kumshuti?
7. Alibakiwa ndani ya nyumba au nje ya nyumba? Kama ni ndani alipitaje reception bila hata kuomba msaada wa ishara huku akijua anaenda kubakwa?

NB: labda huyo dada ni mpole sana, alisema mwache tu afanye dhambi zake mwenyewe!
 
Mbakaji alijuaje huyo msichana anasoma hapo chuoni ina maana wanawasiliana mara kwa mara

Zingatia hiyo comment ya mkuu hapo juu. Katibiwa siku za nyuma bado anacontanct na Docta? Acha ubushoke hao ni wapenzi na nakuhakikishia baada ya wiki 2 ukilainika anakupa mzigo na mwezi ukiisha NNA MIMBA KXYZ zako na zake. Kumbe ana mzigo wa docta tayari. Fungua macho wewe acha ufala.
 
<br />
<br />


Halafu Swali lingine ambalo Mm najiuliza,Kama hakum-mbaka Chumbani hapo Campus,alitoka naye vp chumbani kwenda kwenye gari? Alikuwa ameshika silaha hadharani? Kwa vyovyote aliificha ili watu wasishangae then kumwingiza kwenye gari na kwenda nae huko anapokujua yeye!! Muda wa kutoka chumbani kwenda kwenye ulitosha kupiga Mayowe!! Kuna kitu huyo Msichana anakudanganya kaka,usimwamini 100% hata kama umemtoa wewe mwenyewe Bikira!!

Halafu kaka,Bikira is something physical wakati Uadilifu ni jambo la Kiroho!! Kama mmoja kati ya wanafunzi 12 wa kwanza wa Yesu alianguka katika dhambi sembuse Mwanamke wako? Upendo na Imani yako kubwa kwa huyo Mpenzi wako usikufanye usione Mantiki na kupofua macho yako!!

Kama huyu Mpenzi wako atajiumauma kujibu maswali haya au ukimuuliza anakuwa mkali au anajifanya kuangua kilio UJUE AMEANZA UMALAYA! Kila tabia mbaya inaanza na hatua ya kwanza,kila kitu kibaya unachokiona duniani leo kilikuwa na mwanzo coz hata malaya wa Ohio na walishawahi kuwa Mabikira!!

Lakini ili ujiridhishe na uanze kumchukulia hatua huyo daktari na kuona kama msichana wako anadanganya au mkweli,nenda kwenye kampuni ya simu za mkononi ambayo mpenzi wako ni mteja,tafuta mfanyakazi mmoja wa IT au yeyote anayeweza kukusaidia Mpe fedha kidogo akupe "Call History" ya namba ya huyo mwanamke wako na Msg zake,akuprintie au kama atakataa aandike msg za huyo dada manually(ndiyo maana unamuhonga) au tumia Jeshi la Polisi kupata ripoti hizo!!
Ukiona alikuwa anajibu msg za huyo daktari au simu zake hata kama ni kijumlajumla ujue huyo mpenzi wako "alishamtamani" huyo daktari moyoni mwake na hata kama asingebakwa(km anavyodai) basi alikuwa tayari ameshazini naye katika ulimwengu wa Roho!!

Cha muhimu zaidi,hakuna mtu asiyena hatia,kila mtu anajua kusema uongo anapoona maslahi yake yanatishiwa!!

Lakini Pia inawezekana akawa anasema Ukweli,Think Big Brother!!
 
Nguli nashukuru kwa maswali yako,haikuwa campasi ni nje,hilo la kwann hakufanya action yoyote wakati wa kufunguliwa geti na aliposhushwa getini kwa nini hakuwaamba walinzi nimemuuliza wakati wa kutoka anadai aliogopa na wakati anarudi she was confused anyway your questons are an eye opener nitayauliza tena majibu yatanipa mwanga nijue nifanye nini
 
Jamaa alikuwa anamtibu huyo dada akiwa form 2,2005 mzee naye alipelekwa na dada yake enzi hzo kwa huyo dr tunajaribu kujua kama huyo dr alikuwa na contact na huyo dada yake siku za karibuni kwa sababu hata pa kumpata akamatwe haijulikani ndugu yangu,kunipa mzigo ndani ya wiki mbili ni ngumu sana,mimi niko mkoa na siko tayari kufanya nae chochote mpaka afanye test
 
sasa mzazi demu wako kalazimishwa (kabakwa) unataka kumuacha je unemfumania ungefanyeje mana sioni sababu ya wewe kumuacha alafu ni kitendo cha muda mrefu sasa kama angeachwa na mimba alivyobakwa. Achaujinga kaka jaribu kusahau angekuwa amependa kufanyiwa hvyo ungemuacha ila kwa sababu amelazimishwa so achana na mawazo hayo. Usimuache kama kwel unampenda
 
Murefu asante kwa ushauri hili tukio limetokea juzi ijumaa 27/05/2011
 
Mkuu pole sana. Shukuru Mungu kuwa una mwanamke muadilifu sana hatoi mpaka anashikiwa bastola (kama ni kweli). Ila report issue polisi, hata kama atakuwa kaoga na kufanya vyovyote, kama anamtiririko wa mazingira basi anaweza kumtia hatiani.
Msitishike na kuwa anamtandao mpana, anajaribu kuwavunja moyo ili asishikwe. Air it out sehemu zinazohusika ili usaidiwe. Pia fuatilia mwenyewe kwa ukaribu, ili isijekuwa ni move flani hivi. Jaribu kufuatilia huyo Dr hata kama uko mbali ili ujue issue kamili.
Pole mkuu ndo maisha.
 
Pole sana kaka. Kumuacha kwa matatizo yaliyomfika sio vizuri. Ni jambo ambalo hata yeye hakupenda limtokee. Muuguze kwa kipindi hiki, akipona nenda nae mkapime magonjwa ya kuambukizwa + mimba ili mjue mtaanza vipi part 2 ya maisha yenu ya kimahusiano.
Mungu akupe busara usifikirie jambo baya litakalomuumiza.
 
Murefu asante kwa ushauri hili tukio limetokea juzi ijumaa 27/05/2011

sawa kaka ni vizur ukamsaidia na yeye kumpotezea mawazo ukisema umuache utakuwa umemuharibu kisaikolojia ila kaka ni vizur ukamsaidia. Katka kuepuka mawazo kwan hakupanga afanyiwe hvyo plz ninakushaur usimuache mana wewe ndo tegemeo lake katka kumtoa mawazo. Ninajua inauma ila usiwe unamuonyesha hali yoyote mbaya au hata kumkejeri cha msingi onyesha mapenzi zaid hayo ni mapito tuu kaka MPENDE MPENZI WAKO ZAID. Jitahid kusahau zaid mana hakupanga yeye hyo ni kama ajal
 
simple nenda polisi,fungua kesi,ataitwa kwa mahojiano.Atakataa kuwa hausiki.then kesi itakosa nguvu mpaka utoe kitu kidogo,wewe usitoe kitu kidogo then fanya yafuatayo
mtafute polisi mzoefu,yeye atakupa recomendetion ya mtu wa kumuona ,atakusaidia nje ya sheria,huyu jamaa atapata adabu yake,na pia atakupa fidia ya kifedha ili ukamtibu bibiye kwani atakuwa traumatized na kubakwa.
then Dr mbakaji hatoweza kurudia tena tendo hilo na utakuwa umewaepusha wasichana wengine na zahama za huyu Dr,asiye muadilifu.
 
Pole ndugu yangu,usimwache kwani hakudo willingly alilazimishwa,cha msingi ongeza mapenzi zaidi ali asijisikie vibaya,mpende kwani hayo yanamsumbua pia hata yeye ukimuacha utamuathiri sana kisaikolojia,mapenzi ya kweli ni pamoja na kusaidiana katika ngumu kama hizi,kama humuamini huyo dokta nendeni mkacheki afya zenu kisha muendelee kula maisha,hayo ni mambo ya kawaida sana,usijali!
 
Wacha kutuma upepo huku,sijui katoka bikra blah blah,ww ni mwongo ,na huyo demu wako malaya kama ww katongozwa kapigwa kitu !halafu kakuzingua na bastola Jifunze kupima mambo!
 

Hamna lolote hapo, mtu alitoka kubakwa kwa mtutu wa bastola alikua na ujarili gani wa kufika na kwenda kuoga?
Na huyo mbakaji mpaka anamdrop home_ chuoni, walikutana wapi na kwa makubaliano yepi?
Hapo kuna mawili wewe umetunga hadithi kufurahisha jamvi ama huyo mdada anakuchezea
 
Wacha kutuma upepo huku,sijui katoka bikra blah blah,ww ni mwongo ,na huyo demu wako malaya kama ww katongozwa kapigwa kitu !halafu kakuzingua na bastola Jifunze kupima mambo!
<br />
<br />
Ni mtazamo wako safety
 

Mkuu wa kwenda kuripoti polisi ni victim mwenyewe maana hawa hawapo kwene ndoa. Anyways, mie nipo skeptical sana na madai ya wasichana wa kibongo, especially kwene ishu kaa hii haipaswi mtu baki arukie kwene smoking gun, inaeza kula kwake.
 
We umejuaje? ulikuwepo? kuna wasichana wengine wasanii wanatoa wenyewe halafu wanasingizia wamebakwa wakifumwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…