Girls from tanga

Girls from tanga

wakalisisi

Member
Joined
Apr 18, 2013
Posts
17
Reaction score
0
Habarini wa ndugu, naomba humu ndani kama kuna mdada au kuna anayemfahamu dada yoyote mwenye maadili na mwenye kujielewa kutoka Tanga ani PM haraka, serious saana jamani
 
n2mie crd ya buku ten ya vd kwenye pm facta nkuunganshe nao.
 
Habarini wa ndugu, naomba humu ndani kama kuna mdada au kuna anayemfahamu dada yoyote mwenye maadili na mwenye kujielewa kutoka Tanga ani PM haraka, serious saana jamani
mimi namjua dada mmoja kutoka tanga?kwani wataka nini na watu wa tanga ehhh
 
chezea tanga wewe utagawa mpaka atm card..ndio mana ukiingia kuna kibao KARIBU TANGA ila hakuna KWAHERI TANGA.
 
Habarini wa ndugu, naomba humu ndani kama kuna mdada au kuna anayemfahamu dada yoyote mwenye maadili na mwenye kujielewa kutoka Tanga ani PM haraka, serious saana jamani

Sasa mkuu hujaweka takwimu za unaemtafuta:

  • Mwenye umri gani
  • Ana watoto au la
  • Kaolewa / keshawahi kuolewa au la
  • Elimu gani
  • Bikra au la
  • nk.

Nina ndugu chungu tele, jieleze vizuri tukusaidie.
 
Hamna mademu hawajui mapenzi mbali na utapeli (hela mbele) kama wa tanga!n!over

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom