wakalisisi
Member
- Apr 18, 2013
- 17
- 0
mimi namjua dada mmoja kutoka tanga?kwani wataka nini na watu wa tanga ehhhHabarini wa ndugu, naomba humu ndani kama kuna mdada au kuna anayemfahamu dada yoyote mwenye maadili na mwenye kujielewa kutoka Tanga ani PM haraka, serious saana jamani
Habarini wa ndugu, naomba humu ndani kama kuna mdada au kuna anayemfahamu dada yoyote mwenye maadili na mwenye kujielewa kutoka Tanga ani PM haraka, serious saana jamani
Mndele Madame B, ushe nzooo. Kuna mgosi hapa etuitange. Vikiidima utegona mbwai.
kama ndo hayo bac tena.
Du Kumbe King'asti u wa kaya, haya onga mame?
Enda we du,
ushe mgosi Sumba-Wanga asha fiha kukaya, na tutala n'ngande mwehi wa kenda, enda we du mndele King'asti.
kama ndo hayo bac tena.
hizi ni myths tu, labda kama unless kama mnataka kukonfemu wenyewe kwamba nyie na S'wanga ndio Tz 1 ktk ile fani ya 'teknolojia asili'/chezea tanga wewe utagawa mpaka atm card..
chezea tanga wewe utagawa mpaka atm card..ndio mana ukiingia kuna kibao KARIBU TANGA ila hakuna KWAHERI TANGA.
Mgosi onga ....tihaha ha wandee wa tanga....iwe uzaaga kwenyu?
Tiwedi, hangiza iwe mndee
Tunela n'ngande keri, usiogohe ushee
Unaogopa kulowekewa nguo? Tangaza sera bwana