Girls from tanga

Hamna mademu hawajui mapenzi mbali na utapeli (hela mbele) kama wa tanga!n!over

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Utapeli na pesa haviwezi tengamaa ni kama uji na mgonjwa.
Wewe wasema.
 
Habarini wa ndugu, naomba humu ndani kama kuna mdada au kuna anayemfahamu dada yoyote mwenye maadili na mwenye kujielewa kutoka Tanga ani PM haraka, serious saana jamani

kuna dada mmoja anafanya grocery ya hapa jirani ana maadili na anajielewa ukiwa na nafasi ni-PM nikuelekeze uje umuone
 
~Tanga tanga jaman yalabi toba ndege pia kwa mwezi twaona mara moja mwawekani mabehewa yalozana pale si yaficha maficho ya wezi pale.
~ukigusa tu unanasa watoto heleni mkufu kiuoni s**nga
 
Habarini wa ndugu, naomba humu ndani kama kuna mdada au kuna anayemfahamu dada yoyote mwenye maadili na mwenye kujielewa kutoka Tanga ani PM haraka, serious saana jamani

neza vinohaluse kukupm!
 
chezea tanga wewe utagawa mpaka atm card..ndio mana ukiingia kuna kibao KARIBU TANGA ila hakuna KWAHERI TANGA.

ndo nachotaka hicho, nataka nikiingia nisitoke tena!! nishacoka na vicheche vya mjini na havijui kitu kitandani
 
Sasa mkuu hujaweka takwimu za unaemtafuta:

  • Mwenye umri gani
  • Ana watoto au la
  • Kaolewa / keshawahi kuolewa au la
  • Elimu gani
  • Bikra au la
  • nk.
Nina ndugu chungu tele, jieleze vizuri tukusaidie.



  • miaka 20 - 26
  • asiwe nao
  • asiyeolewa
  • yoyote ila awe na upeo wa maisha na kujitambua
  • vyovyote na akiwa bikra iwe orginal sio ya malimao na vim
  • NK> awe na mwonekano mzuri na tabia / maadili ya kitanzania!! asiwe mnene wala mwembamba saaana
 

Basi mkuu ngoja niifanyie kazi. Nikimpata na akiridhia kutambulishwa nitawasiliana nawe.
 
asiyeolewa atakuwa hana uzoefu na mambo ya mahusiano, atakusumbua. Tafuta mwenye uzoefu, si unaona hata waajiri wanatafuta watu wenye uzoefu. teh teh teh.
 
asiyeolewa atakuwa hana uzoefu na mambo ya mahusiano, atakusumbua. Tafuta mwenye uzoefu, si unaona hata waajiri wanatafuta watu wenye uzoefu. teh teh teh.
Duh,
Kweli aisee
 
Sasa mkuu hujaweka takwimu za unaemtafuta:

  • Mwenye umri gani
  • Ana watoto au la
  • Kaolewa / keshawahi kuolewa au la
  • Elimu gani
  • Bikra au la
  • nk.

Nina ndugu chungu tele, jieleze vizuri tukusaidie.

kama upo serious ni PM tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…