Girls na Ladies without make up

Girls na Ladies without make up

20PROFF

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
8,186
Reaction score
7,184
Hawa wadada wanakosa kujiamini tu, ila wakiwa bila make up, wanapendeza zaidi. Wengine hawajiamin wana fake sana.

Vipi, wew wapenda ma make up? Wewe mdada unaweza toka out bila make up?

dondosha picha za hawa walio bila make up

images-124.jpg


images-123.jpg


images-122.jpg


images-80.jpg
images-80.jpg
images-66.jpg
 
Make up zinatesa sana..... unapakwa sijui mirangi saba Kwenye uso mmoja, ukitoka hapo kila kitu usoni kinakuwa kizito mpaka unajihisi sio wewe. Looking simple and natural is everything [emoji119][emoji119]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Make up zinatesa sana..... unapakwa sijui mirangi saba Kwenye uso mmoja, ukitoka hapo kila kitu usoni kinakuwa kizito mpaka unajihisi sio wewe. Looking simple and natural is everything [emoji119][emoji119]


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwani mtu akiambiwa sura nzito, ni huwa sababu ya haya madude??
 
Mm siku zote huwambia wanawake wote ni wazuri hakuna mwanamke mbaya ila wanazidiana tu, mm ukitia mawigi, sjui kucha za bandia, kukata nyusi nakuona ni wabandia na sikuoi
[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kuwafariji mkuu, kuna wengine sio wazuri kwa kweli. Hata ww ukiambiwa kwa baadhi ya madem uchukue na pesa juu basi utakataa tu. Na kwa wanaume hali ni hiyo hiyo.
 
Katika vitu vimenishinda ni makeup jamani kuna muda najistukia may be niko mbali saana na urembo ila najisikia huru sana bila kujipaka kitu , pia nawafurahia wanaofurahia kujipaka makeup kikubwa ni kufurahia muonekano wako.
 
Make up zinatesa sana..... unapakwa sijui mirangi saba Kwenye uso mmoja, ukitoka hapo kila kitu usoni kinakuwa kizito mpaka unajihisi sio wewe. Looking simple and natural is everything [emoji119][emoji119]


Sent from my iPhone using JamiiForums
haya ni maneno ya mdada mzuri na mrembo kwa sura, maana

huwezi kuta mdada mwenye sura personal anaandika hii comment.
 
Yani Mimi umri unavyozidi kusonga naona kabisa Kuna vitu navipunguza kwenye urembo..nilikuwa siwezi toka bila wanja na lipstick...imeenda nikaacha kupakaa wanja nikawa napaka lipstick tu...covid ilipowasili na uvaaji barakoa nikwa sipaki hata hiyo lipstick..Sasa nimezoea naweza toka bila chochote usoni na Sina hata habari..
 
Yani Mimi umri unavyozidi kusonga naona kabisa Kuna vitu navipunguza kwenye urembo..nilikuwa siwezi toka bila wanja na lipstick...imeenda nikaacha kupakaa wanja nikawa napaka lipstick tu...covid ilipowasili na uvaaji barakoa nikwa sipaki hata hiyo lipstick..Sasa nimezoea naweza toka bila chochote usoni na Sina hata habari..

Shukuru Mungu umezaliwa mzuri na kasura kako kama mdoli...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom