Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Olivier Giroud:
"Watoto wangu waliniuliza: Baba, unacheza na Kylian Mbappe timu moja?"
"Nikawajibu: ni kweli lakini yeye ndiye anayecheza na mimi timu moja... Wakacheka".
Hapa jamaa amedharaulika sana na watoto wake.
#football
Je Kuna tofauti ya sentence hizo mbili?
"Watoto wangu waliniuliza: Baba, unacheza na Kylian Mbappe timu moja?"
"Nikawajibu: ni kweli lakini yeye ndiye anayecheza na mimi timu moja... Wakacheka".
Hapa jamaa amedharaulika sana na watoto wake.
#football
Je Kuna tofauti ya sentence hizo mbili?