Ndio kuna utofauti.Olivier Giroud:
"Watoto wangu waliniuliza: Baba, unacheza na Kylian Mbappe timu moja?"
"Nikawajibu: ni kweli lakini yeye ndiye anayecheza na mimi timu moja... Wakacheka".
Hapa jamaa amedharaulika sana na watoto wake.
#football
Je Kuna tofauti ya sentence hizo mbili?View attachment 3017729
Kwani uongo? Wee hebu tazama hapoDaaah [emoji3063][emoji3063]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha bna ....ntagonga ban[emoji3063]