GK: Alikiba ni mfalme wa mziki

Kajolijo

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
3,364
Reaction score
4,612
Mkongwe huyo wa mziki ameyasema maneno hayo katika kipindi cha MY PLAYLIST knachotushwa na clouds tv, aidha amesema kuwa Alikiba ni mwanamziki anaejielewa, mwenye sauti nzuri na anejua kuitumia vilivo, ametumia muda huo kuongelea wimbo wa AJE kwa kusema kua ni wimbo ambao hauchuji haraka kama wengine, pia amesema kua wimbo wa AJE kila siku ukiutizama na kuusikiliza unagundua kitu kipya tofauti na ulichoona au kusikiliza jana.

Hongera mfalme Kiba kwa kutoa nyimbo zisizochuja haraka kama wale pia kupongezwa na wanamziki wakongwe wanaojua historia ya mziki wa bongo na walio kwenye mziki muda mrefu kama GK.

Chanzo: Clouds tv
 
Huku kumpa sifa isiyisaiz yake ndio kunampa sifa analewa ,then akija kwenye uharisia haiko hivo...muacheni afanye kazi tumuone
 
hamna ki2 hapo me naona nyimbo za kiba hazifai hata kuingia kwenye ushindani africa,,alafu huyu jamaa namuona mbinafsi,,aachwe tu apotee kwa kulewa sifa,,
 
Jina lake linatosha kuelewa aliyeongea ni nani.
KING CRAZY = MFALME WA VICHAA/MACHIZI ni.
G.K = Gwamaka kaihula.

Sasa chizi akiongea kitu kisha ukakiweka akilini basi wewe ni afadhari ya yeye.
 
Jina lake linatosha kuelewa aliyeongea ni nani.
KING CRAZY = MFALME WA VICHAA/MACHIZI ni.
G.K = Gwamaka kaihula.

Sasa chizi akiongea kitu kisha ukakiweka akilini basi wewe ni afadhari ya yeye.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] agiza unachotaka mkuu kwa bili yangu nitalipa[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Kwann mtu uamue kumdanganya mwezio .
Wivu mbaya sana
 
huyu gk atakua ni mfalme kwa ma-house girl wake.
 
King.........., hata jana aliua MTV..awards,,.
 
Ametumia haki yake ya kikatiba vizuri kutoa yaliyo moyoni mwake
 
Gk ni ndugu yake Diva wa clouds......Diva anamshabikia Alikiba saaanaa na kwa madoidoo kwa sababu Mond waligombana thiku moja hivii hadi ikaruka liveee......kwa hiyo Gk lazima amsapoti baby kasautiii kumshabikia Alikiba naota lakini
 
Jina lake linatosha kuelewa aliyeongea ni nani.
KING CRAZY = MFALME WA VICHAA/MACHIZI ni.
G.K = Gwamaka kaihula.

Sasa chizi akiongea kitu kisha ukakiweka akilini basi wewe ni afadhari ya yeye.
crazy doesn't only mean a person with a mental problem, but also a person who is looking after something with determination, period
 
Sio kweli kwamba Ali Kiba ndo mfalme wa bongo fleva.
Sio kweli kwamba kila anayemkosoa Kiba ni team Diamond
Kila mtu ana mtazamo wake linapokuja suala la wasanii...Kila mtu ana ladha yake anayoipenda...So yeye katumia haki yake kusema anachokipenda nankukiona bora...By the way, hiyo ufalme naiona kwenye title ya thread but kwenye quotation ya maneno aliyoyasema GK siioni...

Na hakuna mahali niliposema kila anayemkosoa kiba ni team diamond
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…