Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Alieimba "ama zangu ama zao" au "hii leo" ...au "sauti ya manka"Gk yup uyo...??
Nshamthahau
Mi namkumbuka alikiba CindelelaAlieimba "ama zangu ama zao" au "hii leo" ...au "sauti ya manka"
Hahahah eti na kigugumizi flan hivi, Mungu anakuona[emoji23]Napenda sana anavyoimba na kile kigugumizi flani hivi ila hizo milioni 30 labda kama za zimbabwe.
Isitoshe ameishasahaulika kwenye game tunaomjua na wale wazee kama mie
Ndio kinachonivutia kutoka kwakeHahahah eti na kigugumizi flan hivi, Mungu anakuona[emoji23]