Gladness Kifaluka awaonya wanawake kuhusu wafanyakazi wa ndani baada ya tukio la wizi

Gladness Kifaluka awaonya wanawake kuhusu wafanyakazi wa ndani baada ya tukio la wizi

jjackline

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
111
Reaction score
274

Msanii maarufu wa vichekesho nchini, Gladness Kifaluku amewataka wanawake kuwa makini zaidi na wafanyakazi wao wa ndani baada ya kukumbwa na tukio la kusikitisha. Gladness aligundua kuwa mfanyakazi wake wa ndani alikuwa akificha vitu vyenye ncha kali kwenye pochi na kumuibia fedha.

Tukio hili limemfanya ashauri wanawake kuwa na uangalifu mkubwa na kuchukua hatua stahiki kuhakikisha usalama wao na mali zao wakati wa kuishi na wafanyakazi wa ndani.
 
Ugomvi wa kina mama na dada wa kazi ni sawa na Netanyahu na Hamas
Hata UN haiwezi kuingilia
 
Akina mama jitahidi kutimiza majukumu yenu. na suala la kukagua simu ya mtu mzima si haki, kwamba uwe na mdada wa kazi kila siku unakagua simu yake ni jambo ambalo lina ukakasi. La msingi ishi kwa machale.
 
Back
Top Bottom