Mchekeshaji na muigizaji ambaye anamiliki kipindi Chake Cha uchekeshaji Cha Kitimutim kupitia DStv maisha bongo mwanadada mrembo na mwenye mvuto wa aina yake Gladness Kifaluka.Ndio mwanadada pekee bongo mchekeshaji mzuri.
Hiv karibuni amefanya interview na Moja ya chombo Cha habari na moja ya swali aliloulizwa je unaweza kumwacha mwanaume aliyekucheat? Akajibu siwezi kumwacha mwanaume kisa amechepuka Kama ananiheshimu cos wanaume asilimia kubwa wapo hivyo
Akaulizwa pia je umewahi kumfumania mwanaume wako? Akajibu ndio niliwahi kumfumania akiwa na mwanamke baada ya kufika nilimchukua mwanaume wangu na sikufanya chochote nilichopendea pale nilipotokea tu Mwanaume wangu akamwambia yule mwanamke huyu ni mke wangu ndo tukaondoka.
Hiv karibuni amefanya interview na Moja ya chombo Cha habari na moja ya swali aliloulizwa je unaweza kumwacha mwanaume aliyekucheat? Akajibu siwezi kumwacha mwanaume kisa amechepuka Kama ananiheshimu cos wanaume asilimia kubwa wapo hivyo
Akaulizwa pia je umewahi kumfumania mwanaume wako? Akajibu ndio niliwahi kumfumania akiwa na mwanamke baada ya kufika nilimchukua mwanaume wangu na sikufanya chochote nilichopendea pale nilipotokea tu Mwanaume wangu akamwambia yule mwanamke huyu ni mke wangu ndo tukaondoka.